Natumaini uchaguzi ulienda salaama huko tz. Hatuwezi kusema mengi, lakini ninachoshangaa ni kwamba Mheshimiwa Slaa toka uchaguzi umeanza hajasema kitu chochote kile. basi tunatumaini kusikia kutoka kwake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.