Hongera sana josephine kwa kuwa mkweli naomba tu umtie moyo dr slaa arudi tunampenda sana sana huu mwaka ni wamabadiliko lazima slaa awepo kwenye mabadiliko haya.
Sio itv wanakata ni wenye nchi lakini haisadii mungu ni mwema anaona kila kitu .ccm wameishiwa mbinu wanatapatapa tu .wasubiri goli la mkono walilozoea.
Maccm wenyewe kidogo wafarakane kwenye mchakato ni bahati .mzee wa mamvi amewahi kusaliti amri la sivyo mambo yangekuwa mengine.kwa nini iwe kwa ukawa ?
Namshauri mzee lowasa akitaka kuhamia chama kingine awe muwazi aseme ukweli wake kutoka moyoni jinsi rich mond ilivyokuwa hajachelewa sana pamoja na kuwa wengi watahoji alikuwa wapi siku zote kusema ukweli .hii itamsadia na kumweka huru .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.