Simu ni used ila inatumika vizuri.
32GB storage
2GB RAM
Inapatikana Dar
Bei 120,000
0711381113
Nimeshindwa kuambatanisha picha kwasababu hapa sina simu nyingine kwa ajili ya kupigia picha.
Ni kile cha silver vya zamani ambavyo ni imara sana kulinganisha na hivi vya plastic vidogo.
Unaweza kutazama channels 7 za bure usipolipia.
Bei ya ofa Tsh 25'000 ila ukitaka na antena yake unalipia Tsh 35,000.
Hakina tatizo lolote nakiuza kwasababu ninavyo viwili kimoja sebuleni na kingine...
Kutokana na matakwa ya kikatiba baada ya nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa wazi kwa namna yoyote ile,isipokuwa bunge kumaliza muda wake basi kinachofuata ni uchaguzi wa Spika mpya na sio Naibu spika kurithi kiti.
Ibara ya 84 ibara ndogo ya 8 inaeleza kama...
Galaxy A12
4gb ram
64gb storage
Quad cameras
Fast charging
Battery 5000mah
Sided fingerprint
Simu bado mpya kabisa ina miezi miwili na nusu tangu niinunue dukani.
Bei ya ofa 290k kwakuwa nina dharura natakiwa kusafiri kesho.
Nipo Dar
Exchange inaruhusiwa kisha utaongeza hela...
4gb ram
64gb storage
Quad cameras
Battery 5000mah
Fast charging type-c
Bei 320,000
Exchange inaruhusiwa kwa mwenye A10s ama infinix kisha atanijazia hela tutakayoelewana.
Bado mpya kabisa miezi miwili tu tangu itoke dukani
06249848
Samsung A12 for exchange
64GB storage
4GB RAM
Quad camera
5000mAh battery
Charge type-c
Ina miezi miwili pekee tangu itoke dukani
Ni mpya kama inavyoonekana kwenye picha
Exchange kwa mwenye samsung A10s ataongeza hela tutakayoelewana
0624584858
Simu ina miezi miwili tangu itoke dukani.
Exchange kwa mwenye samsung A10s aongezee na hela tutakayokubaliana.
4GB RAM, 64GB storage
5000mAh battery
Fast charging, type c charger,inajaza battery kwa muda mfupi sana.
Quad camera 48 mp, 8mp,5mp,5mp
Sided fingerprints
0624984
Habari wakuu.
Niende kwenye mada moja kwa moja. Nilikata tiketi ya ndege kutoka Dar kwenda Dubai kupitia Kigali Rwanda na shirika la ndege la Rwandair. Baadae niliamua ku cancel booking hivyo nikawaambia nimesitisha safari kwahiyo waangalie utaratibu wa kunirejeshea kiasi fulani cha nauli...
Simu tajwa hapo inauzwa ipo katika hali nzuri kabisa haina tatizo lolote.
128 GB storage
6GB RAM
Triple camera
Bei 550k
Exchange inaruhusiwa kutegemeana na simu.
0621632813
Habari.
Nahitaji mtu mwenye tecno camon 12 tubadilishane na spark 4 yangu.
Simu yangu bado ipo vuzuri mwonekano wa mpya haijatumika sana haina crack wala shida yoyote nimeamua tu kubadilisha mazingira nitumie camon 12 ambayo nilishawahi kuitumia nikavutiwa nayo.
Nipo Dar es Salaam.
Kama upo...
Wakuu habari.
Nahitaji mojawapo ya simu tajwa hapo juu mwenye nayo tuwasiliane.
Iwe used isiwe na tatizo lolote.
Napatikana Dar.
Piga au tuma meseji kupitia
0654 626 212.
Ipo Kinyerezi haina shida yoyote inagandisha fasta.Mwenyewe ana uhitaji wa fedha ya haraka.
Bei laki moja na themanini elfu.
Ni Hot Point.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za weekend wakuu.
Niende kwenye mada kwakweli inasikitisha unaposhuhudia serikali kupoteza mapato halali ambayo yangesaidia kuboresha miundombinu yetu.
Pale stendi Mbezi mwisho kuna huduma ya vyoo vya kulipia shilingi 500 kwa huduma yoyote iwe haja ndogo ama kubwa lakini cha kushangaza...
Habari wakuu.Nina TV ni smart aina ya TCL sasa shida iliyopo haioneshi channels nyingi kama ilivyo kwa smart tv zingine.Inakamata channels za ndani tu tena sio zote ni baadhi tu.Antena nime connect vizuri sijui shida nini.Huwa inaandika maneno 'NO CI MODULE' na 'INVALD SERVICE'.Msaada kwa wenye...
Habarini wakuu.Niende kwenye mada maana nahisi sipo sawa muda huu kutokana na kilichotokea leo asubuhi.
Kuna binti nilizaa naye miaka michache iliyopita sasa tulikuwa na malengo mazuri ya kufunga ndoa hapo baadae.Yeye anaishi kwao nami kwetu japo yeye anaishi na wazazi ila mie nipo...
Habari wana jukwaa,
Niende kwenye mada moja kwa moja,
Kuna kampuni inaitwa CSI hapa Kinyerezi two power plant inaajiri wafanyakazi haiwapi mkataba wowote wa ajira na huwa inawalipa wafanyakazi in weekly basis. Mfanyakazi hulipwa 150,000 hadi 170,000 kwa wiki na hupewa cash mkononi hivyo...
Habari za muda huu wakuu.Blackberry yangu z3 tangu jana inaniandikia 'SIM NOT DETECTED' sijui tatizo nini?Ilikuwa hivi jana nilipokuwa naingia kiwanda cha cement dangote mtwara simu iliniandikia emergency calls only baadae sim not detected.Wenyeji wa eneo hilo wakaniambia kuna tatizo la network...
Wakuu natumai mu wazima wa afya.Nauza tecno boom j8 ina kila kitu chake bado mpya.Ukihitaji na risiti nakupa.Simu ni latest ni 4G LTE,16GB STORAGE,2GB RAM.Nauza kwasababu nina dharura ya haraka.Bei ni 260k.
Habari wakuu.Kuna dogo hapa home anatafuta mtu mwenye uhitaji wa haraka wa simu boom j7 maana kesho anaondoka kwenda shule Arusha.Specifications zake 16GB Storage,1GB RAM,8MP CAMERA.Simu bado imesimama vizuri.Au kwa mtu mwenye simu ndogo yake na hii j7 mbadilishane umuongezee hela kidogo.Bei ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.