Mimi nilisoma Lawschool Cohort ya 4(2009/2010) katika masomo/mitihani kama 13 nina Supplementary ya mitihani miwili mmoja Core na mwingine ni Non Core,and here i am,sija apishwa kuwa wakili,hadi pale nitakapo faulu masomo hayo ndo ntapata fursa ya kula kiapo baada ya kufanya petition,sasa...
Well,jina langu kama lilivyo 'Sumu Baridi'...nilipachikwa na Marehemu Bibi yangu (mzaa mama),nikutokana na hali yangu ya ukimya,wa kuangalia mambo kwa macho hata yawe ya kuumiza vipi,ni mtu wa kuyachukuwa masuala ya kuya scrutinize,then maamuzi huya chukua mara nyingi pale watu wanapodhani...
Talk about TAKUKURU/PCCB...the man openly praises the functioning of that institution,my my only recently did they try to save skin for the former A.G on the radar scandal but the U.K washed their hands from their filthy report!
I humbly submit and stand to be corrected...
Chifunanga nimekusoma,pia Derimto umesomeka...I believe hizi pillars za security whether external or internal zinategemeana kwasababu kama Derimto ulivonijuza kuwa hata Jeshini watu wa UWT wapo ni imani yangu kwamba wanaenda sawa.
Kuna Colonel mmoja niliwahi kumuuliza hilo swali akanijibu...
"kwa mujibu wa Mwendendo wa Makosa ya Jinai (Penal Code Act)"
Mkuu MwanaHaki,naomba nikurekebishe kidogo,
(1)Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ni Criminal Procedure Act na
(2)Kanuni ya Adhabu ndio Penal Code Act-Cap 16 of the Laws of Tanzania
Ahsante
Habari,
Nimekuwa interested na mada iliyopo bandikoni, ila ningependa kufahamu kutoka kwa wana JF...
Jeshi la Ulinzi wa Taifa na Usalama wa Taifa nani superior kwa mwenzako? Kwasababu kwa mtazamo wangu ni kwamba they both play vital roles in the security of our nation.Kuna mtu mmoja ni...
"Lu-ma-ga;Ili kupata muafaka ni bora malinganisho ya madai ya Dr.SLAA dhidi ya uchakachuaji yakafanyiwa kazi kuliko kukanusha tu.Hapa inabidi wawe objective zaidi ya kuwa subjective. SLAA amesema nazo takwimu basi zifanyiwe kazi kuliko kuendelea kurumbana.Time is running out you know!!!!!"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.