Ahsanten sana nyote mlochangia, hizi quotation huwa zinaniongezea sana uwezo wa kufikiri,, MUGABE ana quotation zenye ukali wa maneno lakini ni KUNTU SANA
ka nmelewa swali basi najibu ka ifuatvyo ka sjaelewa nako watakuja wengne 1.price discrimination by age 2.by gographical location 3.by sex 4.by status 5.time etc
YABUUU YABUUU YABUUU tunataka ma GREAT THINKER KA WE sio tuna tatzo people end blaming instead of giving the ways forward, idea yko nataman Wenye dhamana WAIPATE AU IWAFIKIE
Hahaaaaaa members huwa mnanikosha xn kumbe wanatania ? kutuajiri hawataki sa ntarudshaje ukzngatia deni halifungi ata wakitukamata magereza hayatoshi ,saiv baada y kustisha ajira najiajiri na deni wanidaidai mana na wao ulkuwa uk sign unapaga baada ya mwezi Enzymes
Nina dought kuwa katoa damu litre 1? wakati binadamu ana jumla litre 5 ka kumbukumbu zangu zipo sawa 7b nshawah changia na madaktari hawaruhusu kias ka hicho
Hongeren sana kukomboleka kifikra kupitia vitabu m pia ni mmja wenu ,,ni dhahiri umekomboleka naona una uwezo wa Ku recognize and appreciate especially kwa rafiki yko pistmshai
Sio Dk. mkuu MPE muite prf Ndalichako ,,binafsi aijui japo najua fika kuna masomo y sayansi ,sanaa ,hisabati na biashara ,,lkn biashara haijazungumziwa na waziri ,,mkanganyiko zaidi ni pale mfano m nmsoma economics & geo (biashara na Sanaa) ,nafikiri biashara hatuhitajk saiv cz hata shule zke ni...
Daaaa kweli humu kuna vichwa binafsi sikuelewa kivile saiv nmeunganisha doti nmeelwa vzr kweli " A PICTURE WORTH A 1000 WORDS " ujumbe umfka vzr zaid kulko ka ungeandika mi paragraph mingi
kuonyesha upo committed unasema sasaiv nnaweza kuanza ,nmewah apply siku moja nkafanyiwa interview siku hyhyo nkaulzwa unapenda uanze lin nkawambia saiv nkaanza ,wenzangu walosema Mara next week ,kesho walipewa wengne nafas zao
Mtoa mada as if u are reading my mind ,,binafsi nakiri umekomboleka na pia endelea kukomboa ,hoja yako nzito sana kwa jinsi ambavyo waafrika dini zilivowaingia inahiyaji nguvu ya ziada ,,umetema ukweli ""kwa wakristo wenzangu unabiwa FUNGU LA KUMI " hapo watu bora alale njaaa ili atoe fungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.