Mkuu ukiona bomber kama hio inapigana na vikundi vya watoto WA kigaid jua uncle Sam hajatoa Silaha, tambua taifa lisilo na maonesho ya Silaha ndio hili, hata during WW2 the world was shocked na nuke Hakuna aliejua wanayo
Bado saana, juzi usik mmoja ameshambulia nchi 4 Kwa mara moja ndan ya usiku mmoja, Iraq, Syria, Yemen na Jordan, mashambuliz yoote hayo hametoka barrac moja tu red sea, kasoro ile B.1 Bomber iliotoka Washington Direct to middle east non stop over 12000 miles kushambulia na kurudi airbase marekan...
Haelew huyo mwehu achana nae hii dunia ya leo free lunch wap? Since when America wanatoa misaads bila kujua returns zao, watu wakisikia neno msaada tu hawawazi kilicho ndan ya kapet
Akili yako fupi sana, uchumi wa Jimbo moja la CA Lina uchumi mkubwa Zaid ya all African countries combined, lingine ambalo hujui mwenzio anafanya biashara ukisikia msaada unaenda ukrain ni silaha toka viwanda vya marekan ambavyo baadae ukrain lazima alipe
Hakika inahitajika kuwa na gats kwel kwel nakumbuka biden akiwa Poland alimwambia Putin Sisi tutapeleka silaha Ukraine kama kawa wewe kama unaweza tumia nuclear tuko tayari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.