Nadhani stori uliyokusudia ni demu wa Cape Verde. Huyu uliyezaa umemchomekea ili kuvuta attention za watu tu. Kwa hiyo mtoto wenu atakuwa mkubwa sasa na mmezaa mwingine? au mkeo bado ana ujauzito wa mtoto wa pili?
Kumbuka pia wanawake wanaolewa na wanaume wakubwa kwao. Mfano, mwanaume wa miaka 45 anaoa mwanamke wa miaka 19. Obviously, Kama mambo mengine yote yatakuwa sawa, bac mwanaume atatangulia kupendwa zaidi na Mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.