Habari ya Asubuhi.
Nina kazi inayohitaji watu wengi wa kufanya mauzo, ninatafuta watu binasfi au kampuni za kushirikiana nazo, dhamira ni kufika Tanzania nzima hivyo ningependa kupata washirika wa biashara kutoka pande zote za Tanzania.
Kwa high level, biashara itakua na mfumo huu.
1. Kila...
Msichana wa kusaidia kulea watoto anahitajika haraka, mmoja ana miaka minne na wa pili ana miaka miwili.
Jumatatu hadi ijumaa kuna mtu mwingine wa kufanya usafi na kazi nyingine za nyumbani, msichana ayehitajika anakua na jukumu la kutunza watoto na kupika.
Msichana ataishi pamoja na sisi...
Hawa jamaa wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu (heslb) wako busy kwenye vyombo vya habari kuwaambia watu wajitokeze kwa hiari la sivyo wao watafika nyumba kwa nyumba, watatoa picha kwenye magazeti na mambo kama hayo.
Lakini ukijaribu kuwapata kwa simu zao +255-22-2772432/3 simu inaita mpaka...
Make : Toyota
Model: Landcruiser
Model Number: PZJ
Engine: IPZ
Price: Milioni 14
Mahali lilipo: Dar es Salaam
Condition: USED, New Battery, 4 new tires
Year: 1992
Mileage: 372973
Transmission: Manual
Fuel Type: Diesel.
Tyre: 4 new
Battery
Mawasiliano: call/sms/whatsapp 0754-730813
Nina ATM 30 zilizokwishatumika zinauzwa.
baadhi zinafanya kazi lakini nyingine hazifanyi kazi (for spares)
ATM zote sina safe zenye funguo na combination lock.
naziuza kwa bid, mwenye bid nzuri ndio mnunuzi, hakuna minimum price.
Simu 0754-730813, ATM zipo mikocheni, Dar Es Salaam
Picha ya...
Najaribu kupata makadirio ya kodi, kwa Nissan Dualis ya 2007 CC 1990, siioni katika list ya TRA, mwenye kufahamu makadirio ya hii gari naomba msaada tafadhali
Ismail Jussa anahojiwa sasa katika makutano ya magic fm na Fina Mango
nitaweka updates hapa kwa wale walio mbali na redio
Updates
"kwa kuzungumza mfumo wa Serikali mbili badala ya mfumo Serikali tatu, ni ushahidi kwamba CCM hawajadili rasimu ya wananchi" @jussaCUF
"Madai yetu ya msingi ni...
Kama ungependa kuwa wakala wa benki, tuwasiliane kwa namba 0754-730813
Vitu vya kuzingatia
1. Soma Page number 5 na 6 kwenye hii guideline ya BOT kujua kama umekindi vigezo vya kuwa agent...
Serikali imekua ikisisitiza kwamba inajali wafanyakazi na imekua ikijinadi kwamba inafanya hivo kwa vitendo na sio maneno.
Katika sherehe za mei mosi, Rais alisema nia yake inaonekana kwa namna ambavyo serikali ilipunguza kodi mwaka jana na kwamba hata mwaka huu itapunguza.
Kumekua na PR sana...
Juzi nimeendesha kutoka Dar kwenda Mbinga, hii ni safari ndefu ya kilomita zaidi ya 1,000
Kipande cha Mlandizi hadi Morogoro kimekua na usumbufu sana, kutoka kwa baadhi ya hawa ndugu zetu.
Hivi ni kwa nini mtu anajificha kichakani na tochi? Uko na km zaidi ya 900 kufika mtu anakupiga tochi...
Wenje bila kujali kwamba anaudhi wengi amesema kundi la 201 wamepewa rushwa ya chakula na vinywaji, hii ni dharau kwa wajumbe 201.
Vitendo alivyofanya Wenje bungeni ni aibu na upuuzi, kwa hakima vitendo kama hivi vinashusha sana thamani ya CHADEMA kwa jamii.
======
Kuanzia sasa unaweza kutoa Pesa kwa kutumia ATM za UmojaSwitch.
ATM za umojaSwitch ni kama wakala wa Mpesa, hii ni njia rahisi na uhakika, ni masaa 24 na ni uhakika, ATM ziko na pesa muda wote.
KWENYE SIMU YAKO
1. Piga *150*00# Chagua Toa Pesa
2. Ingiza namba ya wakal (999999)
3. Ingiza...
Ninatengeneza website kwa kuanzia shilingi laki mbili tu, hii ni pamoja na registration na hosting ya mwako mmoja.
kama uko na bishara na ungependa kuwa na website yako basi niPM.
www.yourname.co.tz au Yourname.com
Karibu katika Makutano kupitia 92.9 Dar, 93.3 Dodoma, 98.6 Arusha, na 101.7 Mwanza/Tanga. Ssebo yuko nawe mpaka 6pm. Karibu
Leo mjadala ni Posho za wajumbe wa bunge la katiba. Maria Tsheshai atakuwa studio kuanzia saa 11.
kwa mchango karibu katika kupitia twitter handle yetu -@makutanoShow...
Dk Turuka anasema madai kwamba wa-pentekoste wamepuuzwa si ya kweli, anadai kwamba wamepitia record zao na hawajapata uthibitisho wa kuwepo mapendekezo yeyote kutoka baraza la maaskofu wa kipentekoste.
ameendelea kwa kusema kwamba kwa ukubwa wa jamii ya wapentekoste Tanzania, hakuna namna...
kuanzia saa 11 jioni, Hamisi Kigwangala marie na wengine watasika hewani wakiongelea uteuzi wa wajumbe wa katiba
msikilize fina kupitia magic fm, 99.2fm
Toyota Landcruiser short chasis ya 1992 iko sokoni.
bei 6m.
gari ipo Dar, mnazi mmoja.
kwa atakayetaka kuiona au kwa maelezo zaidi PM au simu 0787-730813
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.