Wakuu habari za jioni.
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu 2015.
Nimesoma Bachelor of Arts with Education na masomo ya kufundishia ni History na Geography.
Nimeamua kuja kwenu ili kwa yeyote mwenye uwezo wa kunipatia au kuniambia sehemu ninayoweza kupata nafasi ya kufundisha nitashukuru sana.
Iwe...
Habari za jumapili wana JF.
Mimi ni msichana mwenye 24+ na nimepitia relation tatu mpaka hapa nilipo .
Tatizo katika hizo relation zote nimeishia kuumizwa. Hii hali imenipelekea kutokuwa na imani kabisa na men.
Umefikia hatua hata wale wanaojitokeza kuhisi ni walewale wadanganyifu.
Kiukwel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.