Swali muruwa sanaa..?!!
Kifupi hakuna hoja hapaa, hiyo mifano aliyotoa haina reference na mada imejikita kwenye personal Opinion kulingana na uwelewa binafsi na sio Medical Hypothesis
Huyu Dogo ndio yule Alijiyeka akaenda kwa Galifrendi wake akala na akaoga..?!!😂😂😂😂
Dogo tuliza mavii hivyo vipesa unavyopewa wa hao wanarakati uchwara na hizi takwinu zakupewa usome zisikupe kiburii
Mawazo ya Kipumbavu Kupita Maelezo..
Embu tufanyeni kazii, hawa MaChadema hawana kazi za kufanya ndiomana wanalilia watu wakae ndani buree..
Chapa Kazii..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.