Search results

  1. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    NAPE: Wapuuze wanaokusakama.

    Mh. Nape ametumia ukurasa wake wa Tweeter kutoa ujumbe huo kwa kuwashauri wale wote wanazungumzwa negatively (wanaosakamwa) kuwa wasijali kauli na namna watu wanavyowafikiria. Ushauri huu umekuja muda muafaka wakati Taifa linapambana na Madawa ya kulevya ambapo limeibuka kundi la wanufaika wa...
  2. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    NAPE: Huu ni Unafiki!

  3. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    CRDB mnazingua sana na ATM zenu!

    Kimsingi nimechoka kuwavumilia CRDB katika huduma yenu ya Automatic Teller Machine (ATM) ambayo imekuwa ni jambo la kawada kwa Benki hii kukata mtandao katika ATM kuanzia mida ya saa kumi na mbili hadi saa mbili na nusu usiku (18:00pm - 20:30pm) hasa katika Jiji la Mwanza. Ukataji huu wa...
  4. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Mbowe afanya Mkutano Mwanza kimyakimya

    Katika usiri mkubwa sana, Mbowe ameanda Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama Wilaya ya Ilemela ambao unafanyika katika Jengo la Vijana Mwanza leo 11/01/2017. Jengo hili lipo Wilaya ya Nyamagana. Nikiwa kama mwanachama wa CHADEMA nilikuwa na shauku kubwa ya kumsikiliza kiongozi wangu. Lakini shauku...
  5. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Ukweli kuhusu ajira mpya za ualimu

    Habari wana-JF! Naomba kuuliza kuhusu huu uvumi wa kutangazwa kwa ajira za Ualimu ni kweli au ni uvumi tu?
  6. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Michango ya Changia Lowassa iliishiwa wapi?

    Amani iwe nanyi! Wapendwa Watanzania wenzangu naimani sote tunakumbuka kuwa Mh. Waziri Mkuu Mstaafu, Edward lowassa, aligombea nafasi ya Urais kupitia CHADEMA na kuungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananch (UKAWA). Katika jitihada za kuongeza nguvu kifedha ili Mh. Lowassa...
  7. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Hawa ndio wanaomshauri Rais Magufuli

    Habari Watanzania wenzangu! Nivyema tukafahamu kikatiba watu wanaomshauri Rais katika kutekeleza majukumu yake ya kila siku. KATIBA YA TANZANIA YA 1977. Ibara ya 37. Ibara ndogo (1) Mbali na kuzingatia masharti yali yomo katika Katiba hii, na sheria za Jamhuri ya Muungano katika utendaji wa...
  8. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Lowassa apigiwa saluti Kenya

    Haiitaji elimu kubwa sana kujua kama Lowassa anakubalika, ni macho pekee yatakudhihirishia kwamba anakubalika kulio maelezo. Askari wa Kenya wanampigia saluti, alafe wewe unaangaika humu JF kumchafua!
  9. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Nasubili Mods walale nitupie hii habari.

    Naomba muwe wavumilivu bado kidogo Mods walale kuna habari nataka niwajuze. Kama nikiiweka sasaivi wataifuta na mtakosa fursa ya kuisoma. Bado Mods wawili tu ndio wapo macho mpaka sasa.
  10. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Kanitukana sana kisa nimemtongozea JF

    Jamani hakuna mahari maalumu pakumuona umpendae. Pia hakuna mahali maalumu palipo ainishwa pakuanzishia mausiano, bali sehemu na namna yoyote inaweza faa kuanzisha mausiano ilimradi tu umemuona umpendae. Hivi karibuni niliona picha (profile picture) ya msichana mrembo katika akaunti ya mmoja...
  11. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Namna ya kumpa mimba mwanamke alieshindwa kuzaa

    Kama mpenzi au mke wako anatatizo la kushika mimba hakikisha unafanya yafutalo 1. Mwanaume (Mume) anapaswa kumuanda mwenza wake kufanya tendo la ndoa (hakikisha unamuanda mpaka anafika kileleni). 2. Ikiwa tayari mwanamke kahamasika ipasavyo kufanya tendo la ndoa, mwanaume usimkurupikie...
  12. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Mbinu za kutozungumza broken English

    Zipo mbinu nyingi sana za kufuta au kupunguza kuzungumza au kuandika broken English. Ni vizuri kutoa mbinu kulingana na broken husika. Hivyo, andika au uliza kwa Kiingereza ili tuangalie broken ipo sehemu gani kisha itolewe mbinu ya kufuta aina hiyo ya broken. "Kumbuka tiba hutolewa baada ya...
  13. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Ifahamu sheria ya dhamana ya mkopo

    Kwa wale wanaokopa mikopo katika taasisi zinazotoa mikopo kwa masharti nafuu mfano FINCA na PRIDE wapaswa kuelewa kuwa hakuna sheria ya dhamana ya mkopo ya vitu vya ndani. Katika kulitambua hili, taasisi hizi huitaji mkopaja awe katika kikundi kisichopungua watu watano. Hii inamaanisha kuwa...
  14. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Sheria inasemaje kwa wanaochukua mkopo kwa hati za nyumba zisizo zao?

    Siku hizi pamekuwa na tabia ya watu kuiba hati ya nyumba na kwenda katika taasisi ya fedha kuchukuwa mkopo bila ridhaa ya mwenye hati. Inawezekanaje mtu apewe mkopo kwa hati ambayo haina jina lake? Sheria inasemaje katika hili?
  15. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Vyama vya upinzani tumbueni majipu ya Wenyeviti

    Kimsingi Wenyeviti wa vyama vya upinzani wasipo kuwa wabunifu ili kuendana na kasi ya CCM chini ya JPM, vyama vyao vitakufa kisiasa kwani kila kukicha katika maeneo mengi hasa mitandao ya kijamii hoja zinzojadiiwa ni za CCM, ziwe za kutumbua majipu au la. Kwa hali hii, vyama vya upinzaani...
  16. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Rais John Magufuli, fuatilia utendaji kazi katika Halmashauri, hasa ya Jiji la Mwanza

    Kwanza nakupongeza Rais John Pombe Joseph Magufuli kwa utendendaji kazi wako wa kufuatilia katika maofisi! Hivyo, tunakuomba utembelee kwa kustukiza katika Halmashuri zetu, hasa ya jiji la Mwanza kwani pamekuwepo na utendaji kazi duni na wakilaghai. Mfano, katika Idara ya Ardhi unapotaka...
  17. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Watu 9 wajeruhiwa katika vurugu zilizotokea baina ya wafuasi wa CCM na CHADEMA

    WATU 9 wamejeruhiwa na gari na pikipiki kuharuibiwa vibaya kutokana na vurugu zilizotokea baina ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na Chama cha Mapinduzi(CCM). Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuongeza kuwa...
  18. CONSTRUCTIVE THOUGHT

    Sumaye: CCM kama kuna hirizi zenu Ikulu, mzitoe mapema

    Aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Fredrick Sumaye, ametupa ‘Dongo' kwa mahasimu wao kisiasa CCM, waanze kufungasha ‘virago' mapema kwa kuwa mwaka huu ni wa UKAWA. Akizungumza jana na mamia ya wananchi Dar es salaam, Sumaye amedai kwa miaka mingi...
Back
Top Bottom