Kwa sasa kuna wingi wa flash mbovu na unaweka data vizuri ila km no video au mp.3 hazichezi kabisa hivyo tatizo lako flash ni mbovu tafuta flash nyingine
Mimi nilishapata tatizo kama lako nikaenda polisi makao makuu ghorofa ya nne kuna kitengo kinachoshughulikia nenda na leseni yako na mkeo watakusaidia na utajua fine iliandikwa wapi na nani aliandika ref. Ni leseni hivyo sio rahisi kubambikiwa.
Du kuna uzuri wake na ubaya kwa upande wa uzuri nilikuwa bigboss baba akiwa mgumu kutoa hela basi natumwa mimi kwa baba zinatoka . ubaya sasa wote tumezaliwa madume ila wakati wa kupika mie nilikuwa nanyimwa kaka zangu ndio wanapika matokeo yake najua vyakula vichache tena bibi ndie alinifundisha
Ume
mshauri vizuri sana maana kumpiga ni kumhukumu na ataona hukumu ilishatoka hivyo uwezekano wa kuendelea kuchepuka ni mkubwa .
Wakati mwingine mwl wa mwanamke ni kipofu hivyo hufanya jambo bila kufikiria madhara yake hivyo kikubwa ulichotakiwa ni kusubiri km amejutia naamini ataendelea...
Sio vifurushi vya internet tu hata bundle za kupiga simu unanunua dk 50 kupiga tigo kwenda tigo kwa siku unatumia dk saba wanakuambia kifurushi kimekwisha ukipiga customer service wanakuomba wanashughulikia tatizo matokeo yake utarudishiwa kifurushi kesho yake tena zimebaki dk kumi muda wa...
Kweli kabisa na muhimu mwanzo wa mahusiano yenu km mliwekana wazi mipaka ya simu zenu inakuwa vizuri sana na tukumbuke ninyi ni mwili mmoja mmeamua kuwa mume na mke suala la siri kati yenu linakujaje kama mliona bado mnataka kula ujana msingeoana ili muendelee na maisha ya kuficha siri. na...
Unaweza kutumia mafuta ya ubuyu ni dawa nzuri sana ya kutibu vidonda vya tumbo unakunywa vijiko viwili vya chakula asubuhi na jioni kwa muda wa siku ishirini na moja utakuwa umepona kabisa. Pia yanasaidia kupunguza kitambi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.