Kwakweli hili pia mie nimeona ni tatizo. Ila sehemu kubwa nadhani linachangiwa na system yenyewe. Ukiangalia hata matamko yanapotoka. Mwenyekiti yupo katikati ya Watoto wa Vigogo. Hii ni Kuonyesha kwamba labda yanabaraka toka Juu. Sasa hawa wazee hata wakikaripiwa wanaogopa kujibu mapigo maana...
But you guys you have Tindu Lisu, one of the toghest figures in Chadema. Mshirikisheni katika hili naamini atalifanyia kazi kwa ufanisi wa hali ya juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.