Serikali ya awamu ya tano imejipambanua kuwa inapambana na rushwa na kutaka watu wote wafanye kazi. Huyu mkuu wa chuo cha ualimu Tukuyu ndugu Ubaya Salum kwakweli anakwenda kinyume kabisa na taratibu zinavyotakiwa. Zipo tuhuma nyingi sana zinazimkabili lakini inaonekana wafanyakazi wa chuo hicho...
Kichwa cha mnyeti hakina tofauti na cha mteuaji wake. Watu aina hii wanapendwa Sana na mkuu wao. Sio muda atamwagiwa sifa nyingi Sana. Angalia wale wenye maneno ya shombo kama kibajaji, bashte na Gambo wanavyopendwa na bosi wao.
Kigwangala ni sawa na joka la kibisa. Matamko tu utekelezaji ziro. Mie nilicheka sana kipindi anamtuhumu nyarandu eti anatesa na akina anti Ezekiel. Mwanaume mzima bila aibu ndo ya kusema hayo. Kigwa hana tofauti na aggrey mwanry mkuu wa mikoa wa Tabora naye hupenda kufoka kwa maneno makali sana...
Tangia nisikie ile kauli yake kuwa wafuasi wa vyama vya upinzani wapigwe maana polis ni wa ccm sina haja ya kumsikiliza huyu . Aache kuropoka ropoka aende akamwambie jpm mwenyewe!
Kigwangala ni sawa na joka la kibisa. Matamko tu utekelezaji ziro. Mie nilicheka sana kipindi anamtuhumu nyarandu eti anatesa na akina anti Ezekiel. Mwanaume mzima bila aibu ndo ya kusema hayo. Kigwa hana tofauti na aggrey mwanry mkuu wa mikoa wa Tabora naye hupenda kufoka kwa maneno makali sana...
Mimi nakereka sana na kauli, "mmetuelewa vibaya, mnapotosha wananchi, mnaleta uchochezi" nk. Wanachi sio wajinga kiasi hicho. Hakuna michango shuleni. Mara ya kwanza baada ya kauli ya rais kuwa michango hakuna baadhi ya viongozi wandamizi wakaja na kauli "serikali haijasema elimu bure bali...
Nashukuru sana ndugu kuletà mada hii. Mie tangu mwanzo nilitilià mashakà baadhi ya vipengele vilivyoko kwenye rasimu ya katiba ikiwemo eneo hili la namna ya kupata hii tume itakàyoitwa huru. Kwanza nimeona hakutakuwa na tofauti yoyote na hii ya sasa ya akina kailima. Sijajua nchi zilizoendelea...
Sio mkutano wa uzalendo bali ilikuwa ni mkutano wa uvccm. Nimeshangaa eti ni mkutano wa watanzania wote na huo mkutano badala ya kupanda mbegu ya uzalendo unaing'oa iliyopandwa maana unaleta ubaguzi wa kivyama. Wao wanadhani kuwa ccm ndio Uzalendo. Big NO
Kwa mjibu wa sizonje, vitu kama gereji, karakana ya fundi seremala, sehemu ya kutengenezea chapati nk ni viwanda. Hivyo kabla ya mwaka 2020 usishangae tukaambiwa Tanzania is an industrial country
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.