Kwani ili fisadi au mwizi ashitakiwe ni mpaka awe mgombea uraisi??
Unamaanisha kwa kuwa hao wengine hawagombei ndo sababu yakutotajwa au kushambuliwa/kushtakiwa????
Mkuu haya mambo yapo aisee!!, ule uzi wa jamaa anaitwa decemption niliusoma bt ckuwa naamini sana, bt kwa bahati mbaya au nzuri ndani ya siku c Nyingi nimekuja kushuhudia kutoka kwa mhusika;
Ni hivi, kuna familia (baba, mama na mtoto wao mdogo kabsa) walikuwa wamepima na wote kugundulika...
Siyo tano mkuu, ni 50+, bt umewaza kama mimi,,, nadhani wamemwongezea kura ili waonekane karibia woote kwa umoja wao wanamuunga mkono magufuli hivyo dhana ya makundi kutokuwepo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.