Mwanasheria????? Div 4 point 32. Aende vyuo vya ufundi, au VETA. Sheria inahitaji vipanga Div 1. Kurudia itamsaidiaje ikiwa Alikaa Miaka 4 na kuibuka na matokeo hayo. Akirudia atasoma miaka mingapi ili apandishe kiwango chake cha ufaulu?
Wametapeliwa vipi? Narrate your story ili ueleweke mbinu wanazotumia. Na sehemu zinazotoa mafao zinavyohusika au jinsi hao matapeli wanavyopata taatifa za wastaafu kisha wanafuatiliwa. Maana mafao wanalipwa kwenye account zao benki sasa inanakuwakuwaje mmmm hueleweki.
Usingemlinganisha na wengine 50m na yeye 40m. Pale ungemtunzia heshima yake kwa kusema ulichotoa ni kianzio tunategemea zaidi. Kwa kumlinganisha tu umemdhalilisha
Flyover Dar miundombinu umesongwa na Majengo ambayo ukiyabomoa unatakiwa kulipa fidia. Fidia zinagharimu ndio maana Bomba la mafuta kutoka Uganda limeshindikana kupitishiwa Kenya moja ya sababu ni kufidia ardhi.
Pole Sana mama na wtt, duh ulale kwa Amani Dr Lema umenihudumia vizuri sana kwa wtt wane, Mungu mpokea Dr alikuwa nauchaji wa Kazi, jamani Tz imepoteza bingwa wa wanawake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.