katika maisha yangu mpaka nafika umri wangu leo 40's ni mwanamke mmoja tu nilijaribu kumuambia tuachane japo nilishindwa maana alinililia sana nikamsamehe. lakini usiku wake nikajiona mjinga sana nilimkuta na mwanaume alafu nimemsahe nikaamua kum-ghost tu nikaua tu mawasiliano binti alikuwa...
Aisee mimi nilikuwa nafukuzia manzi (bonge la pisi ana tako sura usiseme) ila alikua na mchizi wake akawa ananikazia japo kwa mbali kulikuwa na matumaini kidogo.
Sasa manzi akashika mimba ya mchizi wake mimi sijui na hapo ni kama miezi miwili namfukuzia hata game sijapewa bado. Sasa kabla...
Now days watu wanaomba sana hela kwa sababu wanaishi maisha ya nje ya uwezo wao...
Nakumbuka nilivyomaliza chuo niliacha bia na madem sio kwa kupenda ila sikuwa na hela nikipata hela zangu ilikuwa nanunua mahitaji ya msosi ghetto kwanza then inayobaki ni ya vocha(kuangalizia matangazo ya kazi )...
1. shanga kwa waswahili wanaamini zinachonga shepu zao(hili naweza kuamini) ukiwakuta wale wazoefu wa kuvaa shanga shepu zao zinakuwa zimechongeka vizuri san
2. pili kwenye mizagumuo akikulia kwa juu alafu ukawa unajua kuzitumia kwa utaratibu unamsugulia kwenye ngozi kwa kutumia shanga hizo...
kuna utaratibu wa kiserikali wa chama kuisimamia serikali na sio anavyofanya bashite
Chama kinapata taarifa za kiutendaji wa serikali kupitia Ilani inayowasilishwa na Waziri Mkuu kupitia Mkutano Mkuu wa Chama huko na Rais ndio Mwenyekiti kama wanaona kuna mtendaji hatekelezi majukum yake...
tangu staff mwenzangu aibiwe posho yote ya safari (per diem) 3m na laptop nilibadilisha tabia
nikaanza kuwa naficha funguo usiku ila hii nilikuja kuacha baada ya kuchukua mmoja Songea usiku nikashtuka anahangaika kufungua mlango akiwa ashachukua hela na sim wakati huo funguo niliiweka chini ya...
sasa si yule si hakuapa maana yake alikua hajaanza kuitumikia ofisi..kiongozi anatambulika baada ya kuapishwa ndio maana unakuta kwenye kuapa anaenda na usafiri wake ila akimaliza tu ndio anakuta dereva wake anamsubiri
kwa ulipofikia hamna kirudi nyuma kaza buti kwakuwa umeshajilipua,,,ukilegeza tu umekwisha maana atahisi kama ulikuwa unampima...ukiona maji ya shingo tuma namba yake inbox labda anatutaka wakubwa wenzake
una uhakika na hilo asilimia 70 ya kodi za nchi inakusanywa DSM..tukileta serikali ya majimbo hio mikoa mimgine itaendelea vipi??? mahali kama singida huko kwa lissu patajiendeshaje watalipa mishahara ya watumishi wao kupitia mkaa au???
ahida ni wenye degree wakishaajiriwa tu wanawasilisha madai wana degree hivyo wanataka wapandishwe vyeo kulingana na elimu yao maana yake ile nafasi aliyoajiriwa mwanzo inabaki tena tupu na kuanza kuipa taasisi gharama ya mshaahara mpya ambao yenyewe haijajiandaa nao
Msamehe tu maana huyo anaonekana ndio alikua anajifunza
Yan ulisafiri umepata tu story nikubali aisee labda sio mm..nilishakamatwa na condom na Ky mpaka leo nilivikana ndio maneno tu yasiyo na ushahidi
Hapa lissu hapana..siijui jiografia ya kenya vizuri so siwez kuwapinga kwa uamuzi wao huo lakini kwa tz mfano tanga ni mkoa mkubwa sana ukipunguza idadi ya majimbo basi kuna maeneo yatakosa uwakilishi kutokana na jiografia yake tanga ukipewa jimbo moja uzunguke lets says bumbuli kuna milima...
Kaolewa na ww unakula mara moja moja na anamuheshim mume wake aiseeee..una uhakika gani kama peke yako unamla mara moja moja??
Kwa experience niliyoshuhudia ma barmaid wengi waliolewa wanaendelea kugawa sana pembeni
Kwa kawaida simshauri mtu kuoa bar maid na kama ameshaoa hua nakaa pembeni...
Story yako inataka kufanana na nichakipitia
Kuna dada nilikua na mahusiano nae sikumwambia kama nna mke na mtoto kwakuwa wife siishi nae mkoa mmoja haikua ngumu kuniamini
Changamoto yule dada alikuja kuniambia ana mimba yangu..nilishtuka sana naweza kukiri mahusiano yetu yalikua simple yan sex...
ikulu pia ni taasisi ina idara ya mawasiliano,, fedha,mipango ambazo zinaongozwa na wakurugenzi kama wizara nyingne
lkn msemaji mkuu yy ishu yyte ya kuitolea ufafanuzi ya kiserikali kwenye taasisi zote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.