Kwa elimu yko bora na Vyeti vya kueleweka,, Hebu twambie Umegundua Siraha gani mwenzetu iliyoleta ufanisi ktk vita?
Au Umegudua kifaa gani kilichosaidia kuleta ufanisi bora ktk Maabara zetu ?
Kama katika tafiti yako ulitumia Copy and Paste ya wasomi waliokutangulia hivi wakiitwa wasomi kesho...
Jamani nyie wapiga DILI ifike mahali muelewe na kukubaliana na Kauli ya JPM Kwamba Hayo MADILI sasa hivi hakuna tena,,
Yaani mnabeba mchanga wetu alafu mashimo yatafukiwa na nini?
Hii ni Awamu ya Tano yaani Ngumi tayari imesha kunjwa tayari kwa kuwachapa majizi ya Mali za Umma.
Hao wa zamani walikuwa na mkufunzi MKUU yaani YESU mwenyewe,,
Hata alipowaacha aliwaachia VYETI vya kudumu ambaye ndiye ROHOMTAKATIFU wa Bwana.
Sasa yeye Gwajima nani kamuweka WAKFU wa kuwa Askofu achilia mbali Uchungaji wa kawaida.
Aweke hapa Vyeti vyake vya Taaluma yke,,
Wanabodi nadhani Leo hii tumemsikia wote MKULU Pale Ubungo akimaliza mchana kweupe suala majina ya MAKONDA na BASHITE,,
Hatutegemei tena watokee HAVICHA humu wakilazimisha eti MAKONDA aweke Vyeti vyake,,:MKULU yeye anataka Kazi na kijana anachapa Kazi kweli kweli,,
Kwa hiyo sasa mjadala...
Hahaaaa,, kweli kabisa Majungu ni mzigo wa misumali ni lazima uhangaike nao ukijitwika kichwani.
Wanapiga kelele,, bila ushahidi wa Vyeti halisi vya huyo Makonda Halisi,, Gwajima alijaribu kutuaminisha kwamba ,,ATAUFUFUA MSUKULE ,, unaoitwa Paul Makonda ili uje useme kuwa wenyewe ndiyo...
Vyeti vya nini watu wanataka MTU anaweza KUTHUBUTU baasi,,
Hayo mambo ya Majina na Vyeti pelekeni pale Ubungo kwenye MSUKULE vikaombewe ili huyo kwenye hivyo Vyeti vyenu na Majina feki afufuliwe
Hata ukifika huko,, ukapata na Habari za huko bado utaziacha huko huko,,
Msimamo wa huku Mujini ni kwamba kijana amefiti ktk nafac yke. Maana ametenda maajabu ambayo hata wenye Degree na PhD wameshindwa kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.