Ni ajabu kwa taifa letu haiwezekani watu wapige ela alafu wasijulikane hii tabia ya kutuchanganya kwa neno watu wasiojulikana inazidi kukomaa naomba rais aikemee kabisa wasituletee blablaaa
Tatizo hatuna mshambuliaji anayejua kulazimisha yaani tungepata mtu staili ya aguero au teves wale west ham wangefungwa goli nyingi tu huyu morata ni mbovu sana hasa kwenye kufunga kwa miguu ilifika wakati nilitamani kocha amwingize bashuayi pengine angetuokoa kwa nafasi zilizopatikana kuliko morata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.