Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Specifications za laptop ni kama zifuatazo
Model: HP ELITEBOOK 830 G5
PROCESSOR TYPE: INTEL CORE i5 8350U 1.9 ghz up to 3.6ghz
RAM: 8GB DDR4
STORAGE: SSD 256 GB
PORTS: TWO USB 3.0 PORTS, 1 THUNDERBOLT 3 PORT AMBAYO UNAWEZA TUMIA KUUNGANISHA...
Hii sio kwa kada zote, kwa wahadhiri na wakufunzi ni 70. Watendaji wa wakuu wa taasis (CEO) alama zao ni sitini, na watendaji wakuu wa vyuo nao alama zao ni 70. Hizo kada nyengine tofauti na hizo nilizotaja hapo ndo alama yao ni 50.
Nakusihi pitia Rule 16 of the Public Service Recruitment...
Alikuwa sahihi wala hakukulisha tango pori. Kwa mujibu wa Kanuni no. 16 ya Kanuni Za Uendeshaji wa Shughuli za sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma za mwaka 2021, alama za ufaulu kwa kada za wahadhiri na wakufunzi ni 70 ila kwa kada nyengine kwa mujibu wa kanuni hiyo hiyo ni 50.
So...
Hati ya mshitaka ni mali ya jamhuri sio mahakama . Mahakama haina nguvu yoyote ya kisheria kufuta hati ya mashitaka ila kufuta kesi pale tu inapojiridhisha kuwa jamhuri wameshindwa kuthibitisha madai yao yaliyowekwa kwenye hati ya mshitaka. Hivyo ni jukumu la jamhuri kuomba kufuta hati ya...
Mahakama inaweza kugundua kosa yenyewe (suo moto) au kwa kushtuliwa na upande wowote kwenye kesi. Pia hata kama mahakama ikishtuliwa na upande wowote, tuseme upande wa utetezi. Mahakama inanguvu ya kisheria kutoa amri kwa upande ulioleta hiyo hati(hapa ni serikali tuseme) kurekebisha na kesi...
Ngoja nikutoe tongotongo. Hati ya mashitaka inapokuwa batili kuna njia mbili za kuitibu. Moja, serikali iamue kuiondoa mahakamani na kuleta hati mpya isiyo na makosa au kuomba amri ya mahakama kuirekebisha bila kuiondoa na kesi iendelee. Pia mahakama pale inapoona kuwa hati ya mashitaka...
Hapo walikuwa wanakosea mkuu. Mahakama ikifuta kesi kwa uzembe wa jamhuri, jamhuri haitakiwi kukukama tena na kukufungulia kesi inayotokana na kesi hiyo hiyo mpaka hiyo amri ya mahakama itenguliwe na mahakama ya juu yake.
Kabla ya kukujibu naomba nikuulize swali hili. Umesema uliwahi kuachiwa huru mara tano, je katika hizo mara tano ulizoachiwa huko kuachiwa kwako kulitokana na mahakama kufuta kesi kwa uzembe wa jamhuri au kulitokana na maombi ya jamhuri kuondoa hati ya mashitaka?
Hati ya mashitaka inapokosewa sheria inatoa mamlaka kwa mahakama kutoa amri kwa upande wa serikali kurekebisha. Jaji alikuwa sahihi kabisa sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai inaruhusu.
We only certify copies of documents and not original documents. It is unprecedented to certify original document inasmuch as the document is authentic by itself. Perhaps they meant that you have to certify copies of your certificates but you might have got them wrong.
Kama huko ulipo nalo ni kosa mahakama za ndani ya Tanzania zinauwezo wa kudeal na hiyo case na kutolewa maamuzi. Kwa maana nyengine unaweza hukumiwa na mahakama za Tanzania bila shida ila sharti tu uwe ni mtanzania ambaye upo nje ya nchi na ufanye kitendo ambacho kwa Tanzania na Huko ulipo pia...
Na huku ukieendelea kukaa rumande mpaka utachoka na maana hakimu naomba mtuhumiwa arudi rumande uchunguzi haujakamilika
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.