Mkuu ushapata gaia? Iko moja inauzwa 8M namba CAK. Kama unahitaji nikuunganishe na mwenyewe muongee. Pia mimi nauza Toyota Wish kama upo interested icheki https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/428365-2004-toyota-wish-for-sale.html
2004 Toyota Wish
63,300 km
Pearl White
Automatic Transmission
1790 cc
7 Seats (Family Car)
All Duties Paid + Registration & Insurance
PRICE: 12.7 M or Best Offer
CONTACTS:
0713662251
Wakuu haina haja ya kubishana sana, hii gari ni ya mwaka 2007 sema nimesahau kupiga picha kadi yake, nitaiweka hapa nikate mzizi wa fitna.
Sasa kwa mfano ukiambiwa hii raum hapa ni ya 2003 utabisha pia? Model za kuanzia 2003 za raum si mnazijua, sasa hii imekuaje?
Habari zenu wana JF, Toyota Coaster inauzwa.
Imported from Dubai and first registered in Tanzania in 18/01/2010. HZB Engine with 4163 cc.
Gari inatembea na inatumika kama daladala Makumbusho-Kivukoni, Haina tatizo lolote.
Bei ni 25,000,000/= inapungua kidogo
Dalali hatakiwi
Mawasiliano ni...
Ungetupia na picha kabisa mdau ingependeza. Hivi hawa sumatra na ewura wapo kweli au? Maana mi naona wenyewe wanapanga tu nauli wanavyojiskia hawaangalia bei ya mafuta wala bei ya spare ziko vipi. Kwa hali hii hawa jamaa wa daladala kiukweli wanaumia. Acha wagome tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.