Wewe ni chizi hasa sema hujafika mirembe mawazo ya mdau ni very neutral la namna ya kutatua tatizo wewe unaleta siasa ! mtwara wameshikamana hakuna jinsi ya kuwagawa serikali ichague diplomasia na ushirikishi ili mgogoro utatulike kuwe na winwin situation
Mdau kwanza nasikitikia mwalimu aliyekufundisha critical thinking kwani sasa unatoa mawazo mgando yasiyo na tija na yenye kuleta uchochezi kama huna hoja kaa kimya sio kuleta pumba zako humu zisizo na maana wacha vyombo vya dola vifanye kazi yake no evidence no right to leap!
Jamani hivi maadili ya vyombo vya habari yamepotelea wapi? Nani anatoa fursa ya hivi vyombo kukampeni udini? Jamani ruanda na burundi ilianza kwa kampeni za ukabila kwenye vyombo vya habari
ndugu zangu wenye dini mbalimbali udini hautatupeleka pa zuri mi nadhani babu hajasema watu wa dini...
Du wadau haya mambo yako kiimani zaidi ndio maana huwa tunaambiwa ukiamini utapona hivyo kama wewe unaimani kuwa babu anaponyesa basi utapona na kila jambo huja kwa sababu duniani
tuombe tu mungu waponywe wengi .
nakuunga mkono ni kifo cha ccm sasa wanawaonesha wananchi live kuwa hawapendi demokrasia na hawapendi kukosolewa na wanataka kuendelea kuwalinda mafisadi hii ni dalili nzuri kuwa huenda 2015 mambo yakawa mazuri kwa upande wa upinzani inabidi waanze operesheni sangara version 2 sasa
mdau mamob huko kwenye chama si mazuri yani kifo cha chama chetu cha mapinduzi kiko njiani maana sasa wamewaweka kina mama watatu kuwaania nafasi ya uspika na leo nilisoma mwananchi walifanya mahojiano na makamba ila inaonekana hatua ya chenge kumsuta hadharani sita ilikuuwa ni mpango kabambe...
Kuna nadharia nyingi zinazoweza kutumika katika kuelezea dhana hiyo:
Mmoja ni kwamba watu wengi walijiandikisha ili kupata kitambulisho ambacho kinatumika katika mambo mengi kama kufungulia a/c nk
Pili majina ya watu wengi hayakuonekana katika vituo vya kupigia kura na mengina yalikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.