Inaonyesha bado unakua kijana.muda utafika tu ambapo utaona kuwa inawezekana kuishi na mke mpaka mnaingia kaburini.hata mimi nilikuwa kama wewe lkn sasa naishi kwa raha mustarehe na mama watoto wangu
kabla ya uchaguzi mkuu mwaka 2010 kulikuwa na malalamiko kuwa manji anagawa hela za kampeni kwa wagombea udiwani ili aweze kupanga safu za mameya wa jiji ili afaidike nao.na kweli tuliona hata masaburi akiacha kugombea ubunge na kukimbilia udiwani.hayo ndo moja ya matokeo ya mipango mikakati ya...
hana lolote huyo anawapaka matope tu pharmacy council kisa anacheleweshwa kupata pesa ya kuweka cheti.registration haimzuii mtu kupata kazi kwani cha muhimu zaidi ni cheti cha kumaliza chuo
dr kigwangala sio mtu wa kuentertain nonsense kwenye kwenye kazi.tusubiri miezi 6 tu ifike kisha tumjadili tena hapa.nina uhakika wengi wenu mtabadili mtazamo wenu juu yake
sina shaka na uwezo wa dr hamis kigwangala kushughulikia matatizo ya sekta ya afya.nadhani mh rais alitakiwa kumpa uwaziri kamili na si unaibu waziri ili awe na meno kamili.vuteni subira na siku si nyingi mtauona moto wake
Magufuli akifanya kosa la kumpa Makamba nafasi nyeti basi ajue kuwa ameteua mtu atakayetengeneza mtandao wa kumuingiza madarakani kwa njia yoyote ile. Makamba ana tamaa ya kuwa rais ajaye lazima Magufuli ajue hilo
yaani uwajengee nyumbu daraja ili mamba wafe njaa? sasa utabalance vipi ecosystem? hiyo ndo festive season ya mamba na baada ya hapo ni njaa kali mpaka migration nyingine
sikubaliani na uwepo wa kenya, drc na nigeria ktk hiyo kumi bora.huwezi kuweka pembeni eritrea, rwanda, swaziland, algeria, tunisia etc.hata wabongo nao hawastahili labda 20 bora.ila kenya na drc labda 50 bora
mbona mi naona ni zoezi zuri kabisa kwa ajili ya uchaguzi.tena nadhani serikali inataka kuua ndege wawili kwa jiwe moja kwani bvr inamalizia kuandikisha nchi nzima wakati vitambulisho vya taifa bado mikoa kibao.ile mifinger print yetu ndo itarahisisha kazi ktk kutafuta wahalifu ambao wanashamiri...
mkuu naona umesahau kuwa hata watanzania waliopigana ktk vita vya ukombozi kusini mwa afrika pia ni mashujaa.hapo sioni kama kuna tatizo wakiimba nyimbo za frelimo, swapo, zanu etc kwani huko kote kuna mashujaa wetu waliopoteza roho zao kwa kusaidia ndugu zetu
kama ni allergy basi dawa muafaka kwako ni avamys nasal spray ambayo unaweza ukawa unatumia kila siku asubuhi kabla ya kwenda kwenye shughuli zako.uzuri wa hiyo dawa unaweza ukatumia kwa muda mrefu with minimal side effects. cha msingi wakueleweshe vizuri namna ya kutumia.
nina uhakika tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.