haya mambo ya ndoa bana magumu sn ndugu yangu ila chakukushauri ita ndg zake na wakwako waonyeshe sms zote usifiche hata 1 huyo hataacha pepo hilo lililoingia nigumu sn kiacha umalaya huo mtafutie washauri wazuri wawa shauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani huu umeme mbona kwetu haufiki mnatupa takwiimu za madishi wakati kwetu umeme hàmna hata tone hata nyumba moja haina umeme halafu mnasema umeme asilimia zipi
Lakini anavyofanyA haya mambo sio njema kabisa hata kidogo sijaipenda anacho taka lipumba nn jamani watu wameumiza vichwa kampeni za ubunge mpaka wamepata wabunge 10 yeye ameka kwenye umwenyekiti miaka migapi hao wabunge alikuwa hajawahi kuwapata kwa hiyo hawezi kuongoza na hafai kuwa kiongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.