Librarian
The School of St Jude is an education institution, entirely funded by charitable donations, that provides free, high-quality primary and secondary scholarships to 1,800 of the poorest and brightest students in the Tanzanian region of Arusha.
We are looking to appoint a Librarian to...
Job title :- field test engineer
Education :- must graduated for the same
Experience :- even fresher can apply
Nationality :- only Tanzanian
Contact me through +255686100103
Mnashindwa kujua role ya HR, wanaoajiri ni departmental heads, kazi ya HR ni ku facilitate tu lile zoezi. Sometimes unakuta tayari candidate ameshakuwa disqualified na wanaomtaka HR wanaonekana roho ngumu kwa kuuonyesha ule ukweli.
Break up!!
Haina maneno mengi, unamtoa out siku moja unamueleza ukweli kwamba hudhani kama unaweza kuwa na future naye, ni chungu kumeza ila ni dawa.
Mtoto wa watu atalia kama siku zake kadhaa ila Mungu kawaumba tofauti sana atasahau na maisha yataenda mbele.
Wadau,
Kama kichwa cha habari kinavyosema. Nanunua magari yaliyogongwa ya aina zifuatazo:-
Toyota Hilux
Toyota Surf
Rav 4 Old Model
Isuzu Wizard
Suzuki ya aina yoyote
Gari nyingine zinazofanana na hizo ila iwe ya juu na isiwe jamii ya saloon cars
Masharti
Gari iwe na engine yake pamoja na...
Mkuu The Boss kufanya restructuring siyo kufilisika. Ni kubadili namna ya uendeshaaji wa biashara ili usipate hasara kubwa na uweze kunufaisha wanahisa wako. Restructuring ni kujipanga upya tu.
Kwako LadyAJ,
Kwanza pole sana kwa changamoto (Maana hatuwezi sema ni shida) hii ni changamoto tu!! Kwanza kabisa ni shukrani kwa Mungu kwamba una Mama wa Mumeo. Ambae kimsingi baada ya ndoa ni mama yako pia. Watu wengi wanapotoka sana wanapotumia mazoea ya Mama Mkwe (Hii dhana kisaikolojia...
Mpendwa Yello Masai,
Pole kwa mkasa uliokupata, kwanza unatakiwa ujiulize je duka analouza mpenzi wako ni la jumla au rejareja? anauza bidhaa gani? Je anapata faida yeyote? katika hiyo siku alipata shoti au mahesabu yalikuwa sawa. Inategemea labda TRA walipita katika hilo eneo hilo, kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.