Habari Wakuu,
Mimi ni kijana wa kitanzania Mwenye umri wa miaka 24 mkazi na mzaliwa wa Arusha. Nilikua naomba kazi ya kufanya kwenye Mgahawa au restaurant Ndani ya mkoa wa Arusha na Mikoa jirani
Uwezo wangu ni mkubwa wakuandaa Vyakula mbalimbali kama.
Soup, mtori, uji, alkasusu,
classic Wali...
Habarini Wakuu.
Husika na kichwa cha Habari.
Tunakumbuka mnamo mwanzoni mwa Mwezi huu. NEC walitoa nafasi ya watu wenye sifa ya kusimamia vituo vya kupigia kura kwenye uchaguzi huu.
Ila hadi sasa Jimbo la Arusha mjini watu hawajaitwa na siku zimebaki chache. Je, ndo utaratibu au kuna swala...
Habari wakuu.
Mimi ni kijana wa kiume Miaka 24. Mkazi wa Arusha. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka Naomba kwa yeyote mwenye kuweza kunipa ajira ya muda au ya kudumu. Kitengo chochote iwe ni ofisini, Nyumbani, shambani.
Nina uwezo mzuri wa kuongea kiswahili na kiingereza. Elimu yangu na...
Habari wanajamvi....
Naandika haya moja kwa moja yaende wizara ya fedha na mipango, wizara ya elimu, wizara ya utumishi wa umma, na bodi ya mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya juu...
Kwa masikitiko makubwa chuo cha IFM kimekua kikitutesa sana wanafunzi ususani kwenye kupokea hela zetu za mikopo...
Habari wakuu..
Nimefuatilia kwa karibu mashindano Haya yanayofanyika jijini Nairobi nimeona kwa kiwango Kikubwa wakenya wakizidi kupromote mziki wetu Kwan Nyimbo nyingi za bongofleva na gospel pia zimepigwa
Ahsantee wakenya kwa kutambua kuwa tuna mziki mzuri unaosikilizika zaid EA.....
Sent...
Wakuu habarii.....
Kwa masikitiko makubwa kuna kikundi kidogo cha watu ambacho kinaihaminisha dunia kuwa Sisi ni watu wa aina fulani Ila CYO
Taifa stars inatuhaibisha Sanaa mpira inaocheza CYO kabisaa... ILO siyo soko la Tanzania kauzu FC au temeke FC wanacheza mchezo mzuri kuliko icho...
Habari wakuu
Nimekua nikisumbuliwa na tatizo usoni la nyama zilizotoka baada YA makovu YA chunusi.. (keloidi) Naomba kujua namna YA kuondoa tatizo hilo
Ahsanteni
Habari wakuu....
Kwa uchunguzi mdogo niliofanya nimegendua jambo kuhusiana na maumbile yetu
Kwa wanawake.. Ukichunguza utakundua kuwa lipsi zake zinashabiana kabisaa na saizi ya papuchi... Kama analipsi zilizopanuka utakuta na papuchi hivyohivyo... Na mama Ana lipsi ndogo hvyohvyo...
Habarii za wakati huu!!!!!
Leo Ndo ile siku ambapo vinaja wetu na timu yetu YA soka YA Tanzania (Taifa Stars) itakaposhuka dimbani CHAMAZI COMPLEX STADIUM kupepetana na Timu YA taifa ya Lesotho..... Tunahamini mmejianda vizuri kwa mechi Hiyoo kutokana na maandalizi YA week chache mliofanya...
Habari wakuu!
Kupitia kichwa cha habari mimi nakaa Mikocheni Regent kwa anayeweza kunielekeza namna yA kufika Chamazi Complex kuangalia mechi Kesho naomba anielekeze.
Yaani usafiri na kama kuna maandalizi yoyote natakiwa kufanya.
Ahsanteni.
Habarii Wakuu!!!
Natumaimi mmeamka salama, Ila kuna kero moja imekuwa sugu sana katika jiji letu na sijui mamlaka zinazosimamia hususani Manispaa ya Kinondoni hazilioni hili tatizo...!?
Barabara za kuingia stand ya Makumbusho kwa wanaotokea Posta au Tegeta imekuwa ni mbaya sana na changamoto...
HABARI ZENU WANA NDUGU:
SERIKALI YA WANAFUNZI IFMSO INASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA RAFIKI YETU/NDUGU YETU JANETH KIWALE WA ACCOUNTS MWAKA WA TATU. AMEFARIKI SIKU YA LEO trh 18/05 MAJIRA YA SAA TATU USIKU AKIWA ANASUMBULIWA NA MALARIA HOSPITALI YA BOCHI.
TARATIBU YA MAZISHI ZITAFANYIKA...
Kama kichwa kinavyosomeka wadau mpaka sasa hakuna page yoyote ya clouds iliyopost taarifa yoyote kuhusiana na kilichokuwa kinaendelea ubungo najiuliza ni wameshaukinai huu utawala wa kibashite na swahiba wake au !!??
Habari jf
Niko hapa kituo cha polisi osterbay nikielekea city centre Ila cha ajabu ni kwamba magari ayasogea kwa zaidi YA lisaa Sasa na pia watu wengi wanazidi kuchelewa maofisini na Wengne kwenye ujasiriamali na Wengne wanaosafiri kwenda ng'ambo YA bahari ili Tatizo ni sugu Sasa kuna haja YA...
Habari Wakuu!!
Hivi Jana tu serikali kupitia baraza la mitihani NECTA limetangaza Matokeo ya kidato cha nne Huku hali ikionyesha ufaulu kuongezeka lakini kiuhalisia Huku mitaani wahitimu waliopata division four na zero wamekuwa wengi Kuliko waliopata three Mpaka one kwa mtazamo wang Hayaa ni...
Baadhi YA wafanya biashara wamekuwa wakiidhulumu serikali yetu kwenye swala la kodi kwa kuuza bidhaa zenye thamani kubwa Huku zikiwa hazilipiwi kodi Kwani risiti zinazotolewa na wafanya biashara hawa ni zile ambazo wanazitoa wenyewe ( issued) Huku zikiwa zinamkandamiza mwananchi wakawaida kwa...
Wakuu poleni na majukumu yakujenga taifa ningeomba kujua taratibu za kupata kitambulisho cha mpiga kura kilichopotea,,, nikiwa na Maana YA je! Unaweza pewa kingine na kama ndiyo process gani za kufuataa,, ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.