Sijamaliza kusoma nimeishia hapo #4
I have been your follower for so long bro, naona change in trend ila umakini katika taarifa hujawahi kupoteza Leo hii umeshindwa tafsiri margins?? Yaank kwamba hata kama voters waliongezeka Magufuli hadi the smallest percentage kweli??
Hisia, Chuki binafsi, mapenzi upofu, hofu, falsfa za kishenzi, ushabiki usio na tija wala manufaa, upuuzi na makwazo yasio na msingi mlioendekeza baadhi ya Watanzania ndomana hadi Leo tupo hapa utter nonsense. Ungekua unauelewa japo kidogo tu ungejua yote hayo hayana tija kama serikali...
Bora wasitishe miradi mingine lakini si kuiacha barabara katika stage hio, lakini mbaya zaidi project managers na acturialist wanafanyaga kazi gani kwenye miradi kama hii kwanini wanashindwa kumatch budget na uhalisia wa mradi madhara ya hio barabara kubaki hivo ni makubwa sana
Hawapo kupongezana
Sifa na pongezi hazina tija, hazikuzi uchumi, haziboreshi maisha yako wala yangu, zinamlemaza mtu anajiona bora yapaswa kumsifia Mungu tu hata mpenzi wako fanya kwa nadra sana.
Simaanishi wasiwe na shukrani, hapana upinzani unapaswa kurecommend, kutoa mawazo mbadala, kukosoa...
Mapendekezo ya hatua za kuchukua ili kuimarisha thamani ya shilingi - JamiiForums
Kwenye nini cha kufanya hasa fiscal approach unaonaje wazo hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Let's say haijashuka wazo lake la "currency stabilization fund" bado litakua valid kuzuia siku isije kushuka
Na kama shilling imeshuka, bado tunaweza kuinusuru hadi wewe maskini usione impact yake maana mpaka sasa huhisi kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Standard ni maji ndio.
Sababu ya kua na unafuu wa gharama pamoja na high heat capacity. Lakini huwa yanachanganywa na antifreeze pamoja na corrosion inhibitors
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.