Nibinti wa miaka 10 ijumaa trh 11mar,2022 amerudi toka shuleni sa11 jioni akasema ameanguka akiwa anacheza mpira wamiguu nawavulana shuleni tukamuuliza umeumia?
Akasema kidogo nikweli alikua anatembea kama anavuta mguu kwa mbali sana mamaake akamuangalia miguu ipo sawa haina uvimbe wala nini...
Habari za leo wakuu,
Naomba kuuliza je kuna matibabu mbadala ya apendex mbali na kufanyiwa upasuaji.
Apendex yenyewe hospitalini baada yakuapigwa ultrasound imeonekana bado ndogo
Nidesturi ya sehemu nyingi kuambiwa "KARIBU TENA" baada yakupatiwa huduma fulani lakini maneo haya kamwe huwezi kuambiwa karibu tena nakama utaambiwa hivyo basi utahisi unatakiwa NUKSI ama UCHURO baadhi yamaeneo hayo ni:
(1):-MORTUARY
(2):-KWAMUUZA MAJENEZA
(3):-GEREZANI
Ongeza na wewe sehemu...
Ameni iwe nanyi
Jana Trh 28 Dec 20 majira ya sa 9 Alfajiiri kulitokea tetemeko la Adhi ktk eneo nililopo huku Mbeya kwakweli hakikua dogo mana nilikua usingizini lakini nilistuka kwa huo mtikisiko lkn cha ajabu jana nikiwa kibaruani sijasikia mtu yoyote akizungumzia hilo tukio nikajaribu...
Amani iwe nanyi.
Huwa najiuliza sana ivi Gwajima anamchukuliaje Harmonize .?
Kuna ule mstari ktk nyimbo ya harmonize UNO kuna kipande kinasema "NDO LILE GWAJIMA ALILOMPATIA KONDOO" Unooo ooh
Ukizingatia Gwaji mwenyewe kwasasa ni MGOMBEA UBUNGE sasa unakuta kwene majukwaa yachama Harmonize...
Habari.!
Binafsi naamini kuna muda uongo unaruhiwa inategemea nikatika hali gani. Sasa kuna binti kisa chake kilitatanisha na kusababisha ugumu wa kumuamini. Kisa chenyewe ni hiki.
Kuna bint juzi nilimkuta anaomba msaada kijiweni kwa wamama flani ivi wauza mafuta ya alizeti maelezo yake...
Spika wa bunge Rebecca Kadaga amewashauri wabunge wa Uganda na maafisa wa itifaki kulinda hadhi yao wakati wote wa Mkutano wa 64 wa Bunge la Jumuiya ya Madola.
Mkutano huo, uliopangwa kufanywa kati ya Septemba 22 na 29 mjini Kampala, unatarajiwa kuvutia wajumbe takribani 1,000 ambao unajumuisha...
Habari wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, hicho kitu kinanitatiza kwa kweli.
Je, ni mmiliki wa Tv channel ndo anaemlipa mmiliki wa Kinga'muzi ili channel yake ionekane kwene king'amuzi husika au ni Mmiliki wa King'amuzi ndiye anaemlipa Mmiliki wa Tv channel ili nae aweze kuuza...
Habari wakuu?
Hivi wale vijana wetu watimu ya Serengeti Boys ambao kwasasa wanaendelea kufanya vyema huko Nchini Gabon kwene mashindano ya AFCON je wanasoma mana umri wao bado Mdogo wakuendelea namasomo ila binafsi nashindwa kuelewa kama wangali wapo masomoni ama La, nakama wangali kwene...
Salam wanajamvi
Naomba kuuliza yule jamaa wavituko kila kukicha alikua anajiita WASTENDI ivi yupo wapi? nikati yawatu waliokua wanachangamsha sana jamvi sasaivi simuoni je nikweli haonekani humu au nimimi tu ndio simuoni ? au umebadilisha ID mkuu umekuja na ID nyingine...?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.