Najiuliza hii kitu huwa inatokana na nini ?? Vyakula ?? Usasa ?? Ukisema tamaaa huyu jamaa anasema toka amezaliwa daahahh kuna haja ya wataalamu kutusaidia katika hili ili kuwalinda watoto wetu kama n vyakula tujue namna ya kucontrol
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.