Jana nilikua napiga story na mshaji wangu, baada ya maongezi ya hapa na pale akaomba msaada wa mawazo kutoka kwangu.
Mke wake amekaleta kabinti hapo nyumbani kwa ajili ya kukalea na kukasomesha, haka kabinti ni katoto ka shangazi wa mke wake, ndio kwanza kameanza form one mwaka huu, kana...
Tokea jana kila nikiingia Jamii forum najikuta moyo wangu unakua mzito, nafasi yangu inakosa raha, simanzi na huzuni inatawala ndani ya moyoni wangu,
Nakumbuka jinsi ulivyokua mkarimu kwangu na kwa wanajamii forum wote hususan katika hili jukwaa letu la MMU.
Upole wako, ucheshi wako, michango...
Kumekua na malalamiko mengi humu jamvini kuhusu manyanyaso wanayopata wafanyabiashara kutoka kwa maafisa wa tra kwa kukadiriwa kodi kubwa tofauti na kiwango cha biashara wanazozifanya.
Pia wengi wameingia wasiwasi kuhusu uhakika wa kodi wanayolipa inafika sehemu husika au la.
Taratibu...
Wakuu huyu mtu ni mda mrefu sana amepotea hapa jamvini, nnamashaka wasiojulikana wasije kua tayari wamefanya yao.
Story za Gala kwa kiwango kikubwa zilikua zinanisaidia kupunguza stress zinazotokana na misukosuko ya hapa na pale.
Ila pia nnamashaka sana na huyu kiumbe anaejiita GuDume kama siye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.