I have never read such madness in this JAMII FORUM before this one you posted
I am going to tell you only one legacy of JPM. Magufuli managed to establish government getway revenue collection system. Now this government collection is highly improved. Ndiyo maana leo SSH anaongea kwa kujiamini...
Inaelekea kuna ukweli kwenye tuhuma za Mbowe maana kundi kubwa la watu wanaingilia uhuru wa mahakama pia wanamshinika Rais aiingilie mahakama kwa kumwondolea kesi Mbowe.
Naanza kuamini kwenye ukweli wa tuhuma za huyu jamaa maana siyo kwa kelele hizi
Mbona mnatumia nguvu nyingi kumshambulia JPM. Yaani uzembe wenu mnamhusishaje JPM.
Pambaneni na hali zenu. Maana kwa dalili hizi mnazoonyesha hata SSH akitoka story zitakuwa ziezile dhidi yake!
Is DRC Congo a democratic or resource center??
Nani anapima demokrasia??
Nini kipimo cha demokrasia?
Wakati gani tuseme hii ni democratic na lini tuseme hii siyo??
Jibu swali la msingi kwamba:-
Je, uchakavu ulisubiri makamba na bodi yake waingie ndipo ulete madhara??
Kama ni scheduled maintenance kwanini hawatangazi na badala yake wanakata kiholela??
Stop blaming others for your own incompetence.
Kwa vipi uamue kuwa na double face?
Kwa nini usichague nchi moja tu na kuchukua uraia wake??
Jambo lipi linakuzuia kuchagua sehemu moja ya kuishi mpaka ulazimike kuishi na pasi mbili za kusafiria? Unajaribu kuficha au kupata nini cha ziada??
Kwenye makala umesema wengi wa wanaopinga uraia pacha...
Hebu,
Toa vigezo vya kutojenga uwanja wa ndege Geita na badala yake kwenda kujenga Chato umbali wa kilometa takribani 90 ambako kuja population ya watu wasiozidi 130,000/- ilhali geita kuna population inayozidi 300,000 sambamba na wafanyabiasha wengi na wakubwa kuliko chato???
Tueleze sababu...
Wana CCM mnafurahia ushindi mnono wa kubumba, leo niwakumbushe jambo kwamba;
Mzee JMK aliulea upinzani ukaanza kukomaa. Mwana 2015 ikapelekea kuwepo na ushindani uliosababisha tumpate JPM ambaye.
Wana CCM wote mnajivunia kuwa ni jembe lenu. Lakini kipindi hicho kusingekuwa na upinzani imara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.