Wandugu kuna tangazo limetolewa na ofisi ya waziri mkuu linaonyeshwa kwa Runinga kutoa taarifa kuwa trh 9/Dec ni siku ya kuadhimisha kupatikana UHURU wa TANZANIA BARA,Ninaomba ofisi husika irekebishe hilo tangazo na kuweka nchi sahihi kwani uhuru kutoka kwa wakoloni ulipewaTANGANYIKA.
Nasikitishwa na kushangazwa kuona tunaletewa kadi za michango ya ujenzi wa Chuo Kikuu cha Marian pale Bagamoyo, wakati hali ya mazingira ya shule zake ni mbaya mno, hata ofisi za waalim na mabweni ya watoto ni hovyo.
Hivi wizara husika haioni hili?
Hata Kama vijana wanafanya vizuri inabidi...
Leo nilikuwa na shida ya vijisenti kwa hiyo kama kawaida nikapita kwa ATM ya NBC LTD ,nikakuta a/c haifanyi kazi kuingia ndani nauliza wanasema wametufungia A/C zetu, mpaka mwenyekiti wa serikali ya mtaa ajaze upya fomu hii hapa.Hii manaake nini? sasa je kwa wale wasafiri ambao wako nje ya...
Mimi nina binti kaolewa na ana watoto 2 na wanakaa kwao kwenye nyumba ya yeye na mumewe,mama yuko mko mwingine na wao wako Mkoani lakini anamlalamika mama mkwe wake kila akienda kuwatembelea kwao,anajishughulisha sana,lakini kinachomkera huyu binti yangu ni kwamba imefikia mahali,binti akiwa...
Wandugu nilikuwa safari,nimerudi nyumbani kwangu usiku wa manane nimemkuta mama mkwe kalala na mke wangu chumbani kwangu,na nina nyumba kubwa tuu ya vyumba 4.niwaeleweje hawa watu na nifanyeje kwa hili?
Please...
1).Can you bleed for a week and survive?
2).Can you squeeze 14 inch baby from a 9 centimeter hole?
3).Can you carry a 7 pound baby in your stomach for 9 months?
4).Can you take care of a child, cook, clean, and talk on the phone at once?
5).Can you carry 10 8 pound s.h.o.p.p.i.n.g...
January Makamba
The power crisis is a result of failure of planning and leadership at TANESCO and at the Ministry of Energy and Minerals
Je huyu mtu ni mkweli? au anatafuta Umaarufu?
Kutokana na hali ngumu ya maisha Waafrica wengi wanakimbia hali ngumu ya maisha Marekani na kurudi makwao
[URL="http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-12810828"
Tunawakaribisha sana. Home Sweet Home!
Hivi ni kweli benki hii inawakopesha fedha za kufanyia kazi bila dhamana kwa suppliers wenye L.P.O Kutoka Serikalini au Makampuni ya uhakika Waislamu kuliko Wakristu eti kwasababu waislamu ni waaminifu zaidi kuliko Wakristu? Naomba kuwasilisha hoja....!
Wana jamii
Hivi ni kweli nyumba mpya za serikali zilizojengwa wakati wa awamu ya Tatu,kule Masaki,mikocheni karibu na usalama na kule mikocheni viwandani kuna baadhi wameuziwa viongozi ambao hawakuendelea na madaraka aidha kwa kustaafu au kukosa ubunge?, hebu tuliangalie hili!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.