viongozi wake ni walewale waliotemwa kutoka chama dume ambao mpaka sasa wanashikiliwa na mahakama maana hawakuwa na msaada zaidi ya kuendesha move za kijinga.We unataka urais wakati unakajimbo kako kamoja mkoani kwako tukusaidiaje?tukikupa kusimama kwa chama dume kugombea urais mwisho ungepigiwa...
Ni chama cha ZITO hicho wala msiangaike kutaka kujua mwenye nacho.Kuanzisha chama si kazi ndogo...................,CDM haijaanza leo ivyo ACT inahitaji milongo 3 ili kuweza kujua ata kirefu chake.
Zito wa mahakama amekalia kuti kavu na nje ya chadema ataanza moja!
Mi nafikiri tunatakiwa kumpongeza mama salma kwa alichokifanya ila nachomlaumu ni kuwapeleka kwa kificho.......kwann ufiche maana kama ni swala la kutongozwa basi wangetongozwa ata huko mtaani ambako kuna watanzania wenzetu......kikubwa ni kuwa makini na mimi sidhan kama mwanafunzi wa chuo mbali...
kesi za uchaguzi zitapigwa danadana weeeeeee MPAKA BASIII maana wanajua uchaguzi wa jimbo lolote ukirudiwa CHADEMA HAWAKAWII KUMtUmBUKIZA slaa BUNGEN........BUNGE LA SAFARI HII NI TAMUUUUUU MPAKA BASIIIII MAANA KUNA VIJANA WAMEINGIA NDAN KWA KUPIGWAAAAA NA POLISI WEEEEEE MPAKA...
Rev huitaji kufanya yote hayo ili upendwe........wananchi wameshakuona mda mrefu na wanakujua ulivyo ivyo subiri hatma yako.........inaweza kuwa nzuri au mbaya kutegemeana na unayoyafanya kila siku ukiwa uko.......Tenda mema nenda zako na bwana atakuongezea..........labda wachakachue maana...
Bado naangalia umuhimu wa kuwepo modulator katika mada zinazorushwa..............alikuwa amesinzia au?mada kama hiyo ningekuwa mimi modulator nisingeipost na ningemtumia reply kwenye email yake akajadili na mkewe au mmewe ndan......na sio watoto...!tunataka mawazo yenye kulijenga taifa na...
MKIWA MNACHEZA NA CCM AKILI LAZMA IWE INACHEZA MARA MBILI KILA WANAPOSEMA JAMBO ATA KAMA NI LA KHERI UJUE KUNA UJINGA NDANI YAKE...........SAWA KATIBA MPYA MAANA KILA MTU NDIO ANACHOKIONGELEA ATA KAMA HAIJUI ILIYOPITA........NAYATAFAKARI MANENO YA JK KWENYE HOTUBA YAKE YA KUFUNGA MWAKA AMBAYO...
TUNAHITAJI JESHI LIONGOZE HII NCHI.........:angry: WATU WANAOTAKA AMANI MATENDO YAO YATAKUWA YANAONYESHA KWELI NI WA AMAN........ ILA KUNA MTU ANAONGEA MDOMON TU ANATAKA AMAN LAKINAI VITENDO VINAONYESHA NI WA SHARI......CCM ANGALIEN MNAYOYAFANYA MAANA MWISHO JESHI LITACHUKUA MWELEKEO ATA KAMA...
we jasusi kweli uko marekani.........ivi hujui kama kuwanunulia magari mawaziri ni tenda ya hao hao wakubwa katika kupeana 10%......watakwambia hii ni model sijui ya mbinguni na ndio maana bei iko juu.......itasaidia kwenda vijijini wakati wanaenda wakati wa uchaguzi........!lazma muweke cha juu...
jamani amejitahidi kutafuta data kueleza ukweli........mgonjwa nae mpeni heshima yake ......ana haki ya kutoa maoni mahala popote na wakati wowote! kama mnabisha mtayaona matokea mengine yanatolewana na mgonjwa mwingine mwakani december......wana haki ya kusikilizwa
hamna wa chadema aliyebaki bungeni wakati rais anaongea......mimi nilikuwepo siku hiyo ndani na naomba tuufunge mjadala huu............!
kama rashid hakughafilika kwenye matamshi yake basi alikuwa na nia ya kuupotosha umma!
Zito wa mwanzo sio wa sasa......nawaeleza iq ya zito ni kubwa kuliko mnavyofikiria na msidhani hajui anachofanya na impact yake ......he is the only target now by ccm party to get through chadema...........we know how to deal with him!
Nafurahi nikisoma comments za watu....nafarijika kwa maana ya kila mtu anaona zito wa sasa sio wa kipindi kile.........leo kwenye gazeti la majira zito amesema asingeweza kutoka nje wakati amir jeshi mkuu ambaye ameleta maendeleo makubwa kuliko rais yoyote yule kwenye jimbo lake...
JIBABA UMETOA TAHADHALI NZURI AMBAYO MIMI NAAMINI KWA VIONGOZI WA CHADEMA WENYE SHULE KAMILI NA SIO zA KICHINI CCM WALISHALIJUA HILO ZAMANI........NNA UHAKIKA ANAEWAFANYA KICHWA KIUME NI ZITO MAANA ANA WATU WENGI NA KESHAANZA KUCHAKACHULIWA..........
NAOMBA NINUKUU GAZETI LA MAJIRA LA...
akigombea na kushinda maana yake hilo jimbo litaendelea kuwa la chadema ata kama 2015 akirudi kwenye urais........hapa ileweke vita ni kutafuta pa kusema huku ukiwa na kinga pamoja na kuongeza ruzuku kwa chama........WATU WANAPENDA CHANGAMOTO ZA SLAA KILA ANAPOONGEA NA SANASANA ANAPOWABANA...
Naomba wasom wetu ndani ya chama wafikilie kuweka tv ya chadema ambayo inaweza ikawa inamilikiwa na chama moja kwa moja au watu binafsi kuficha identity......tunapata shida sisi wadau na hasa inapotokea issue ambayo ni sensitive........tv zilizopo hatuna imani nazo na habari wanazotoa kama...
mi nashangaa kwa wasiomuunga mkono mwenyekiti mbowe........haki uwa inasakwa na kupiganiwa!kama mnadhan ccm watabadilika na kuweka tume huru na katiba mpya bila shinikizo la chadema.....mtangoja milele......
namshangaa rashid anavyosema hawakufaidika na mgomo wa kutowatambua marais wawili...
mi ata nashangaa wanaompinga mwenyekiti wanamaanisha nin......maana hapa lengo ni kujipanga kwa lolote ili ikiwezekana basi kwa mwaka 2015 tuwe na tume huru na katiba iwe imerekebishwa.....na ndio vita tuliyoianza ili kufikisha kilio chetu.......sasa kama wana dhan haki inakuja tu bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.