Habari
Nahitaji kampuni inayouza viwanja vizuri kigamboni.
Nia nikukunua kiwanja kikubwa kizuri na itapendeza zaidi kama watakuwa na utaratibu wa kulipa kidogo kidogo.
Shukrani.
Mahakama ya Wilaya ya Dodoma imewatia hatiani waombaji kazi wawili Mabula Edward Kanga pamoja na Joel Johnson Kimatare baada ya kufanya udanganyifu wakati wa zoezi la usaili kwa nafasi za Uhandisi Ujenzi uliofanyika tarehe 08 Mei, 2021 katika Ukumbi Wa Chuo Kikuu cha UDOM.
Kutokana na umakini...
Habari
Nimeitwa kwenye practical ya utumishi kada network administrator, ningependa kupata hints jinsi namna maswali yanavyotoka na ni part ipi nijiandae vizuri.
katika album ambazo zipo underrated basi album ya pili ya Albert Mangwear
Nipe ni dili
speed 120
Bata kila sehemu
kimafia
bonnie and clyde
tuko juu
CNN
wakitaa
Bila muziki
Mapenzi gani
inakosaje kuwekwa hata TOP 10, hii album inatakiwa iandikiwe kitabu.
hakuna album yenye content kama hii...
Baada ya kuwa katika mahusiano na wanawake mbalimbali na kukutana na changamoto mbalimbali, ililazimu kukaa chini na kutafakari ni mtindo upi wa maisha niishi ili niweze kuepukana na matatizo na changamoto katika suala zima la mahusiano na ndoa kwa ujumla.
Ilinichukuwa muda mrefu sana kupata...
Habari
Jamani nataka kuanza kufanya scrub, nina uso wa mafuta hivyo basi ningependa kujua vitu gani vya kuzingatia ili niwe na matokeo mazuri.
Na je, ni salama kufanya katika saluni zetu hizi za buku mbili mbili za mtaani au ni vizuri niwe nafanya kwenye saluni kubwa za bei?
Habari
Ndugu zangu naombeni msaada wenu juzi nilichepuka na mke wa mtu ndugu zangu sasa kinachonitia hofu ni hii hali ya kuwashwa makalioni.
Hii hali inanitesa na hii leo siku ya pili nimenunua mpaka sabuni ya dettol lakini bado muwasho ni mkali sana.
Nimeanza kupata mashaka kuwa yule...
Wacroatia 🇭🇷 wanatamaduni ya kumalizia majina yao na "ic" mfano
Modric
Mandzukic
Olic
Je, wewe mwana JF ungezaliwa croatia ID yako ingeandikwaje?
Mimi naanza "worldbossic"
Habari
Baada ya kimya cha muda mrefu leo nimeona si vibaya kuja na uzi unaoeleza kuhusu shughuli ninazo zifanya huku ughaibuni.
Nimekuwa muajiriwa wa NASA kwa zaidi ya mwaka na nusu sasa katika kitengo cha earth to mars lauching systems.
Katika kitengo hichi kuna mainjinia takribani ishirini...
Habari
Mimi ni mwanaume rijali lakini kisema ukweli mimi sipendi nyusi na nafikiria kwenda kuzinyoa.
Najua inaweza leta tafsiri mbaya lakini kwa kweli mimi nachukia nyusi ni bora tu nizitoe.
Huyu dogo nimetokea kumkubali sana baada ya kumsikia kwenye wimbo wa iokote wa yeye na maua sama.
Kwa hakika ule wimbo bila kuwepo yeye usingekuwa wimbo wa taifa kama ilivyo hivi sasa.
Baada ya kugundua kuwa uwezo wangu wa kufanya mapenzi umepungua kiasi, niliamua kuomba ushauri kwa rafiki yangu wa karibu.
Rafiki yangu alisikitika sana lakini aliahidi kunisaidia kwa hari na mali iliniweze kurudi hari yangu ya zamani hivyo aliniconnect na mtaalamu wa tiba mbadala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.