Hizo sms tumetumiwa hata huku nyamagana mwanza na mgombea wa ccm(mabula stanslaus) akidai kuomba kura..Ila juzi nilifarijika baada ya kuona sms toka kwa kamanda Ezekiel Wenje naye akiomba kura. nikasema moyoni kuwa hapa ni jino kwa jino. na hatimaye makamanda wanazama magogoni.
Mbona hujauliza kwa nini magufuli hayupo, hashim rungwe, dovutwa?. alaf ukae ukijua kuwa kutokea itilafu kwenye vyombo si kwamba utapigiwa alam ili ujiandae! Na ndio maana hata helcopter ya ccm ililipuka. vitu hivi kuharibika ni muda wowote.Think twice
Eti wanafunzi wa vyuo vikuu.. nyooo. labda kama chuo kikuu unasoma mwenyewe. lakini kama chuo kikuu ni taasisi,basi usijifanye kuwa msemaji wa wanachuo.Mimi nimechoshwa na ukandamizwaji unaofanywa na utawala wa ccm.Hiyo siyo siri,tuache ushabiki usio na msingi. Anayeshabikia labda kaahidiwa...
mara ya kwanza la kairo aliwadanganya wana rorya kwa madawati.wakampa kura. alivyoahidi hakuna alichotekeleza. mf. aliahidi kuchimba lambo huko kowak na hakufanya hivyo. alitumwa bungeni akaenda kusinzia.hadi siku ya kuapa bungeni akashindwa. Kwa sasa wana rorya wanataka mabadiliko.. Piga chini...
Wametelekezwa kweli. maana tumeona watu wanatoka furahisha kwa miguu hadi nyegezi.na wengine wanaenda buhongwa!! wakilalamika na huku wakiwa wamenyeshewa kimvua cha saa mojamoja. ni sheeeda!
Aisee msiogope.Twende tupige kura. maana tusipopiga kura tunjitayarishia kushindwa. si kila kituo atakuwepo police. wengine ni mgambo. pili police mmoja hawezi tushinda raia,tatu police nao wanataka mabadiliko
Mtoa post acha ujinga na post za uchochezi. hivi unavifundisha vyombo vya ulinzi na usalama kazi?. Then acha kabisa kuhusisha mataifa jirani na sisa za tanzania.Yaani uchaguzi ufanyike alafu burundi,zambia,rwanda na congo waje kuanzisha vurugu tanzania!!?? how comes! it doesnt bring sense...
Ninayo taaluma ya maabara ya (Laboratory microscopist) nawaomba wana Jamii Forum ambao ni wamiliki au wapo karibu na wamiliki wa hospitali,vituo vya afya au zahanati.
Kama kuna uhitaji wa mtu wa kufanya kazi maabara msisite kunitaarifu. tumia Email hii: thomasclemence200@gmail.com au simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.