Aliyeenda kuuza deal ndo anatuhusu, ni kweli mtoa rushwa na mpokeaji wote ni wamoja but for this case huyo mtoa rushwa katoa hela yake. Kikubwa hapa sisi kama watanzania tujiulize huyu ni kiongozi wetu angelipa na nini hiyo rushwa? Huu ndio huwa mwanzo wa mikataba ambayo tunailalamikia kila...
Naomba niseme hili..! Watanzania tuache KUPIGA domo, wapinzani wametufunulia ufisadi mwingi sana Kuanzia EPA, Richmond, Rada, pamoja na Escrow na kwa kweli wamefanya kazi nzuri ya kufichua wizi huu. Tujiulize swali moja na hii ni kila mtu, tumefanya nini kuwapa support yetu?? What do we want...
Mdau whichever way alimradi Sirikali hii iondoke, njia yoyote ile haijalishi, Mimi na wewe sidhani Kama itakuwa na impact, nobody knows us, tunahitaji wasomi, waandishi SA habari, madaktari, waalimu, watu maarufu then sasa ndio waongezeke wanasiasa, kuna watu wakimwona mtu Kama Maria Tsarungi...
​Naomba nianze kwa kuwashukuru wapinzani na wanaharakati wengine ambao wamekuwa mstari wa mbele katika kutujuvya maovu na ufisadi mwingi ambao umekuwa ukijitokeza Mara kwa Mara, Kuanzia old IPTL ya kina Chenge mpaka Escrow, Kiwira, Epa, mabilioni ya Uswiss, radar, Richmond, n.k. Lakini...
Wakina Zitto wasisahau kupendekeza kuimilikisha IPTL kwa Tanesco . Manake huo mkataba mwingine wa miaka 20 wa Tanesco kulipa Tzs mil 238 IPTL hatuukubali,
Na hii mie naisema hapa kila siku Ziito speaks for himself never ever for Chadema, watu wanaomshabikia Zitto sijui hawaoni hizi facts ambazo ziko wazi wazi kabisa, mleta mada umeiweka vizuri sana.
Kati ya wabunge ninaowadmire mmojawapo ni Mhe Halima Mdee, ni wakati huu ambao ningehitaji sana kujua anachofikiri kuhusu yanayoendelea katika chama chake. Ni mbunge ambaye hutumia busara zaidi na nafikiri pia hafungamani na upande wowote kwenye huu mvutano kati ya Zitto na Uongozi wa CDM...
Agree with you, Chadema sio mtu au watu..., ni Chama period. CDM are not stupid, na pia hawakukurupuka kufanya maamuzi haya, wanajua consequences zake, so please don't underestimate CDM, for me ni kwamba huu uamuzi umechelewa sana kutoka.
I can agree with you on this, na pia natofautiana kidogo na wewe.., Kapuya kweli ana makosa pamoja na kumbaka lakini pia yule mtoto ni minor, kesi ya kujibu anayo hilo halina pingamizi. Lakini narudi nyuma kidogo na kujiuliza maswali..., Nasikia mtoto alibakwa mara 2 kwa siku tofauti, swali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.