Hukuwa na tabia hiyo kwa sababu wazazi wako waliklea vizuri. Wewe unamlea mwanao vibaya. Jaribu kukumbika ulivyolelewa utaona tofauti ni kubwa na wewe unavyofanya.
Hii ndio shida ya wazazi wa leo halafu tunalalamika. Ndio maana unaambiwa itapofika 2030 tutakuwa na watoto ambao hawajui kama kuna kitu kinaitwa heshima tuakuwa tunaishi kama ming'ombe tu isiojua huyu ni baba wala mama. Chapa mtoto maana hata biblia imesema "tupa fimbo umuharibu mwanao" sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.