People have a tendency to look at the things that they want and say, Yes, I like that, I want that. However, they look at the things that they dont want and they give them just as much energy, if not more, with the idea that they can stamp it out, they can eliminate it, obliterate it. In our...
This is very strange but true on how we make our choice to live.
All men and women are born to live, suffer and die; what distinguishes us one from another is our dreams, whether they be dreams about worldly or unworldly things, and what we do to make them come about. We do not choose to be...
Hi thread nimeipenda sana,
Kweli name imenikumbusha mbali sana .nakumbuka tukiwa shule ya msingi kabla ya kuingia darasani lazima tukimbie mchakamchaka nakumbuka somo la sayansi kimu .mihogo ya kukaanga ilikuwa juu sana wakati wa mapumziko na bakora ukichelewa namba
Nakumbuka tukiwa wadogo bado...
Hi thread nimeipenda sana,
Kweli name imenikumbusha mbali sana .nakumbuka tukiwa shule ya msingi kabla ya kuingia darasani lazima tukimbie mchakamchaka nakumbuka somo la sayansi kimu .mihogo ya kukaanga ilikuwa juu sana wakati wa mapumziko na bakora ukichelewa namba
Nakumbuka tukiwa wadogo bado...
Nimeipenda hii thread.
nakumbuka zamani..nakumbuka kwa mara ya kwanza kuanza kuona sinema kwenye video ilikuwa ile Threaller ya Michael Jackson,maeneo ya keko polisi ufundi kulikuwa kuwa Bar inaitwa majimaji..
Nakumbuka enzi hizo sinema za kihindi zikiwa juu kina Mithun Chakalaboth..
Nakumbuka...
I conquer with you NATA..ni kweli kabisa jamaa ameonyesha upungufu mkubwa wa fikra,sijui nimweke kwenye kundi gani..ila suala la msingi la upande wa pili ni kwamba-kuna watu wengi wanaosikiliza kipindi chake cha jahazi na uwezo wao wa kupambanua mambo siyo mkubwa sana,kuna uwezekano wa yeye...
Wewe umenena.kaka uko sahihi kabisa..Tunachofanya ni kupeana sifa za uongo sijui wapi zitatufikisha?-mfano mdogo kwenye mpira,standard yetu inaonekana kabisa kwamba hakuna kitu lakini bado watu wanaota kwenda world Cup..huo mziki ndio kabisa me naona takataka tu ukilinganisha na miziki ya watu...
Lakini pia Nyandaigobeko! manowari iliyopelekwa ni kwa ajili ya kuwaondoa wazungu endapo hali itakuwa mbaya zaidi ya hapo.Sasa,embu tueleze Waafrika waliobaki nani atawaokoa?na wewe unadai kuna AU,ECOWAS n.k lakini watu wanakufa tu,au huoni hilo mzee?
Kaka Kibona naomba niungane nawe kwa ulilosema juu ya maslahi,ama kwa hakika tuache unafiki kila anaye-comment kwenye hoja hii anasimama juu ya maslahi..Wamerekani na wachina kila mmoja ana maslahi anayoyetegemea kule Sudan,halikadhalika hao Waarabu wanaounga mkono Sudan Kaskazini nao wana...
Kaka Zitto hilo la udini nafikiri ungeliacha kwanza kwa sasa..sisi kama wana JF tunapenda utueleze kwa kina nini hasa ulitaka kumaanisha uliposema JK ameleta maendeleo Jimboni kwako ndiyo sababu hukutaka kushiriki kutomtambua..were you trying kulipa fadhila?yeye kuleta maendeleo Jimboni kwako ni...
Jatropha nimeona comments zako,labda unielimishe tu-inakuwaje kwa wabunge?nani anayewatangaza?si NEC hiyohiyo?na mbona wengine wamekwenda mahakamani na kushinda kesi?..sheria gani huwa inatumika?
You are very right! coz they way he has been commenting various issues during the campaign and on election and post-election shows that;the guy is like a parrot and never argue critically anything.
:A S angry::A S angry:
Nafikiri ni muhimu kufahamu kuwa uvumilivu siku zote una kikomo chake...watu wanabadilika na sasa wanafahamu mengi kuliko kabla...siyo suala la kuwachukulia watu kama walivyokuwa miaka 30 iliyopita..CCM should prepare for changes.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.