Jamani watanzania wenzangu. Naomba tusijifanye vipofu na viziwi wa kutokuona na kusikia na kuchambua mambo. Hii inaonyesha ni kiasi gani watanzania wengi tulivyo na udhaifu wakuchambua mambo. Hatuangalii mambo kutoka kona tofauti, kutafakari na kujua ukweli uko wapi. Hii ndo imenipelekea...
Jamani kulingana na hali halisi iliyopo hapa nchi, mambo si shawri kabisa.
Mawazo yangu naomba wakuu wa vyombo vyetu vya ulinzi (Hasa walinzi wakuu) wasilichukulie hili swala kiurahisi. hili tatizo ni zito. walipe uzito wake mapema kabla mambo hayajawa mabaya.
Kwa kuwa wote tunaishi hapa hapa...
The time is now.
this is the time to make the better Tanzania for the coming generation.
They greedy, the want to have everything. they will never be satisfied.
Kiwete is like a devil who wants to controll and rule the world.
Leave that aside, let me go to the point.
We have been very loyal to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.