Bwana Chpukizi naona Kitu ambacho ClvinPower alitaka kumuelezea mleta mada ni dat cummonication. sana sana kabase TCP with 3 way handshake. ila kwa programming naungana na bwana chipukizi kuwa hakuna kitu kama hicho. tumia Java, C#, au C++ kama chipukizi alivyoshauri. kwa kufuata ushauri wa...
Ndiyo maana ukaitwa VoiceOfReason you tink well and analize tings man. Dis thugs are cursed man. dem always find reason to take peace off man. dem never want see a mankind in peace man. dem tink different to really mankind man.
Big up VoiceOfReason. i like ur comments man.
waberoya mimi napingana na wewe kidogo japokuwa maneno yako yanaukweli kabisa. Kuwa watu wa uhuru wa kuwasiliana no matter wanahitikadi tofauti za kisiasa au kidini.
Lakini kwa hili ya huyu bwana mdogo data tunazo kabisa. Jinsi anavyotumiwa na mafisadi na hao TISS, Zoka, Majid, na baadi ya wana...
hilo tukubali tusikubali zitto anatumiwa japokuwa amekuja hapa na kukanusha lakini hiyo si kweli. hata kama ungekuwa ndo zitto usingeweze kukubali wakati yale unayotaka kuyatimiza hayajatiimia. Zitto kabwe kuja hapa na kulalama kuwa hana mpango wa kukihama chama ni kegeresha tu wandugu.
Kwanza...
hivi huyu jamaa yenu kikwete uko UDSM alikosoma alikuwa anadesa tu??
Make sioni hata kama kunakitu anajua. yaani hata kijana wa darasa la saba anamshinda kunyambulisha mambo.. sasa hili nalo ni swala la kuuliza kwa nini wameshindwa?? kwa mtu hata babu yangu ambaye hakwenda shule ukimuuliza...
Hi Man
First i would like to know where u reside. (if is in Dar or?)
Your thread is contradicting to some extent that is why i do want to know where u are!
In case u are in Tanzania(dar), and as u 've said that u hve a goot shipping networking, think u should have known shipping companies that...
mzee mpaka hapa sasa hivi hali ni tete, make baada ya mpinzani kutangazwa mshindi, kamati ya katiba imebatilisha matokeo hayo nakusema iyafanyie marekebisho. Jeshi limeisha ingilia kati na kufunga mipaka ya nchi. yawezekana hii kamati ya mambo ya katiba inataka ichakachue matokeo, watauwana sasa...
Mzee wewe ulidhani uchawi ni wa watu weusi tuu??? sasa hapa kuna mtoto wa mfalme
anaongea na wafu. na wamefungua shule ya kufundisha watu ujuzi huo.
Pia kila mwaka wana mkutano wa wachawi wote wa nchi. wanakusanyika kujadili mambo yao ya kichawi.
Wao wanaamini kuwa uchawi ni ideology kama ilivyo...
Wewe voiceofResoan usiseme "non violence we shall overcome!!".
Don't sit down and sing we shall overcome. these sisiem floks are bigots. I eager to say people must act by all means for fighting for our freedom. those who can karatee, judo, kung-fuu etc, let us act. we can't just sit down and...
Huyu Dar es salaam kichwa boga kabisa. wewe kiraza kabisa.
Hadith za abunuasi ndo unampongeza huyo Kikwete.
Hiyo video clip na hadith ya kufikirika tu baba.
hakuna kitu kama hicho.
Usitambe na vitu usivo vijua kaka.
ni ramani ya mji wa Helsink ndiyo iliyo wekwa hapo kaka
Hivyo usidhani Kikwete...
Huyu asiwababaishe mzee.
Huku hakuna kubeba box
Jamaa anaosha ****** ya wazee.
asiwadanganye watu. pumbafu kabisa
Hana lolote.
Ni mtu wakujipendekeza sana huyu bwana. hafai katika jamii
Jamani watanzania wenzangu. Naomba tusijifanye vipofu na viziwi wa kutokuona na kusikia na kuchambua mambo. Hii inaonyesha ni kiasi gani watanzania wengi tulivyo na udhaifu wakuchambua mambo. Hatuangalii mambo kutoka kona tofauti, kutafakari na kujua ukweli uko wapi. Hii ndo imenipelekea...
Jamani muoneeni huruma mleta mada hii. yawezekana hajui kabisa anachofanya ila anataka tu naye aonekane kaleta mada. Kwanza kabisa ningependa huyu bwana ajue kuwa CHADEMA wamefanya kitendo cha kishujaa na ninawapongeza sana.Kama siyo kuwa na ufinyu wa kuona mambo kwa mbali asingethubutu kusema...
Thumb Up Mpitaji
that is what we need.
we need people with vision like u
people with determination
the one who put his rubish here he must be cursed.
Siyo kukurupuka tu ohoo zizi wasomi.
huko dodoma munafundishwa ufisadi na kutoijua haki??
he is a bigot. nonsense kabisa.
Mzanzibara hujafikia hatua ya kujiita msomi wewe.
huna usomi wowote unakariri tu.
Ungekuwa msomi usinge thubutu tuandika pumba zako hizo
Kama ndo hivyo wasomi wa dodoma university walivyo basi bure kabisa Tanzania haina wasomi tena
Kwa mtindo wa huo usomi unajona wewe msomi basi nchi itakuwa kam...
Hivi dodoma nako kuna chuo kikuu?
Hivi hao nao wanajiita wasomi?
pole sana kijana.. subiri wasomi wafanye kazi.
usijiite msomi wakati huna qualification.
mUnyamaze kimya wasomi wakufanyieni kazi.
Katika orodha ya wasomi watanzania hakuna anyewatambua nyinyi kuwa nanyi wasomi.
Nyie ni watumwa wa...
labda Dr.Hosea alikuwa anamsafisha kwa kuwa wote wanatoka sehemu moja.
Kwanza Hosea mwenyewe tu Fisadi.. Aondoke tu... Kiwete amwajibishe.. ila kwa kuwa wote ni wale wale hata huyo boss wake atakaa kimya tu.
haya bwana sis yetu macho na masikio
huyu bwana alikuwa na ushamba wa kibongo.. make mambo aliyoyafanya mpaka ifikie kukamatwa yalikuwa ya kitoto mno. kanunua Jaguar mpya mbili kwa mpigo hafafu katangaza kwenye website.. kuonyesha picha za hizo gari. FBI kwanini wasianze kumfatilia, kazi yake haiweze kumpa pesa ya kununua hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.