Angalieni hizi post nyingine jamani...anyway...watu wakibeba box au wakisafisha vyoo its their biz...na ungeweza tu kuwataja hao CCM wa ughaibuni usiwe unaropoka tuuu!Kuna watu tumekuja huku kwa michongo yetu na hizo siasa za uchochoroni wala hazituhusu kihivyo!
ambacho sielewi ni pale wanaposema 'system ziko down'....jamani kujumlisha na kuto ni hesabu zinahitaji systems za aina gani?....imekuwa calcus hiyo....!yale yale ya Bush na Gore...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.