Mimi natoka kanda ya ziwa na biadha nyingi zinatoka kenya sio tanzania nia ubora na bei nafuu
haku kitu hii barabbara itasaidi mwanza kuna viwanda vingi kuliko arusha na kuna barabara safi, kama hiyo imeshindwa kule maendeleo hii itawezaje?
Hapa hakuna kitu hao watu wanataka hospitali na huduma...
we will be please if you walk with us hand to hand to save the famous serengeti nationa park in tanzania against jakaya kikwete who dont care profession comments on this matter www.lifeofmshaba.com: SAVE SERENGETI
shiriki kwenye kampeni mbalimbali kuinusulu serengeti na harakati za serikali kupitisha barabara katika ya mbuga hiyo kwa kisingizio cha kutaka kuleta maendeleo kwa wananchi wanaoishi kuzunguka eneo la serengeti
linki hiyo www.lifeofmshaba.com: SAVE SERENGETI
huu ni ujanja mwingine wa...
UK PM David Cameroon speech at London Conference on Libya:
Let me welcome you all to London.
Foreign Ministers from more than 40 countries from America to Asia from Europe to Africa from the United Nations to the Arab world. All here to unite with one purpose: to help the Libyan...
mimi nina swali moja tu kwa viongozi wote akiwemo kikwete na hao vilaza wengine wanaotaka tuamini matatizo haya yanatokana na uchumi wa dunia kutikiswa, ok tusema mimi nimewaamini na tufanye sisi uchumi wetu unaendana na hao wengine
kwa kila kinachotokea huko na huku kwetu kinatokea, sasa swali...
ana ujasiri wapi kwenye bomoa bomoa watu tumepigwa changa la macho, kisa cha magufuri kupigwa stop ni
meya wa jiji la ilala kajifisadi JERRY huyo alikwenda kumshitaki magufuri dodoma kwa kiranja pinda na pinda alikuwa anamvutia speed magufuli na chato ndipo mahali alipommalizia yawezekana hana...
usahili udom imejengwa na pesa za nssf tena kwa kulazimishwa maana wao walitaka kujenga daraja la kijambona serikali bado inadaiwa deni kubwa kwa ujenzi wa chuo hicho
ni kweli kikwete alitaka kuweka kakitu tumkumbuke lakini tukimkumbuka kwa pesa ya mababu zetu wanazoida nssf na kupelekwa udom...
kaka samahani lakini mimi naunga mkoni tuko kama jela na tena maisha yetu yako hatari kama ya jela tu, ukiandamana kuna 50% kupigwa risasi na polisi lakini jela wana ulinzi na kama utabeba nondo na kuwa bounce basi huko safe kuliko ushwahilini
siko sure kama zenj hali ni tofauti na hiyo mkuu lakini kama ni kweli basi hapo kazi ipo kumbe tuna nchi mbili, lakini kaka inakuwa je ccm wanawachichia pori kwenye uchaguzi sorry kumbe kuna serikali ya mseto
mende sasa kama wana biashara zao toka zama kuwa chadema ndio tatizo
mbili lowasa ana miradi mingapi na kiwira ni ya nani bila kusahau meremeta
mwisho wakulaumiwa ni viongozi wa chadema au serikali yako ya kifisadi
najua unajaribu kufanisha viongozi wa chadema na vigogo wa ccm japo umekosea...
hivi kuna tofauti gani kati ya watanzania na waliopo jela?
kwanza kuna wengi waka jela na hawana hatia lakini pia jela kuna ulinzi wa kutosha
ukirudi kwetu sisi tulioko huru ukisema tu kajambo ka kugombea uhuru wako unazushiwa kesi na kupelekwa jela
na ukipinga ccm una funguliwa kesi...
husisome kuna machizi kibao humu nawajua ndio maana nimeweka hivyo sina haja ya kutaja majina nisije futwa
ni ninyi acheni kuzuga sio kula mtu anayetumia pc ana akili timamu na hao ushauri huu hauwafai sorry nimekuwa mkweli kupitiliza
sina muda wa romance hapa ni dry tu bila kificho
sahamani...
shukurani kwa kuweka sawa lakini huyu paka jimmy hao malofa wenzie wanauelewa ndogo kila kitu mpaka mtafuniwe mimi sijui taaluma zenu nini lakini sio mwandishi ila nina haki zote za msingi kusema ninachofikia kama umeona nilichoongea sio issue kwako unaweza kupita tu paka jimmy sikujui lakina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.