Kupitia uzi huu nitakuwa napost magari ya aina tofauti yanayopatikana South Africa na bei zake. Kama ikitokea mtu yuko interested tutawasiliana ili kujua jinsi ya kukuwezesha kununua gari uitakayo.
Nitakua na post gari ambazo zipo kwa dealerships pamoja na ambazo zinauzwa na watu binafsi kwa...
Huyu msanii wa kike anajua sana kuimba kuliko wasanii karibia walio juu kwenye chart za mziki Tanzania.
Natumai atapata push ya kutosha kwenye industry ili aweze kufikia level anayostahili kutokana na kipaji chake💸💸.
Hizi ni baadhi ya ngoma zake kali, haimbi chapati☺️🫡.
Tumpe support ya...
Wamepitisha bajeti ya dharura kwa sababu ya COVID19 yenye thamani ya dola bilioni 26. Toka nchi imeingia kwenye lockdown wiki 5 zilizopita wameunda kikosi kazi cha watu elfu kumi kwa ajili ya kupima COVID19 nchi nzima.
Nyumba za ibada, cinemas, bars na mikusanyiko mikubwa bado itaendelea...
Serikali ya Uswizi imeamuru uchunguzi katika kampuni ya kimataifa ya encryption iliyoko Zug kufuatia ufunuo ilimilikiwa na kudhibitiwa kwa miongo kadhaa na akili ya Amerika na Ujerumani.
Udhaifu wa usimbuaji ulioongezwa kwa bidhaa zilizouzwa na Crypto AG ziliruhusu CIA na mwenzake wa Ujerumani...
Nicki Minaj to headline music festival in Saudi Arabia
Saudi government accused of hypocrisy for requiring women attending to wear full-length robe
Associated Press
Published:14:31 Wed 3 July 2019
Nicki Minaj will perform in Saudi Arabia, it was announced on Wednesday, as the...
Kama heading inavyo sema ,katika harakati zangu za kusaka pesa nimepata wazo la kufanya hii biashara. Huku niliko maziwa yanapatikana kwa wingi sana kwa bei ya chini,mpango wangu ni kununua maziwa fresh na kuyagandisha mwenyewe kisha kusafirisha mpaka dar.
Ningependa kupata maoni na ushauri...
Jamani naomba msaada kama kuna mtu anaweza nisaidia ku-recover deleted contacts ,photos kwenye Android phone (Galaxy mini) .Nipo tayari kugharamia kwani kuna mtu ame-delete kwa makusudi ili kupoteza ushahidi.
Naomba kujuzwa kama chuo kikuu cha sokoine wanatoa kozi ya ufugaji wa samaki kwa wajasiriamali .Hii ni fursa ambayo naona inalipa sana lakini ningependa kupata ujuzi wa kutosha kabla sijaingia kazini. Asanteni sana
Mimi ni msafiri wa mara kwa mara especially kwenye hizi nchi za kusini mwa Africa, katika hizi safari nimekuwa nikipanda basi za makampuni tofauti kama mchina (yutong, zhong tong, higer),marcopolo, Dar coach na master za Kenya.
Bus zote hizo zina sifa tofauti lakini sijawahi wahi kuwa...
Habari za leo ndugu zangu wa jamii forums, nina changamoto inayonikabili kuhusu matumizi ya PayPal.
Kuna mzigo wa thamani kubwa kidogo nataka kuagiza toka Thailand na muuzaji amependekeza nilipe kwa kupitia PayPal. Naomba kujuzwa je usalama pesa yangu unakuaje?
Endapo mzigo hautafika baada...
Habari wapendwa wa jamii forums, nina hitaji chupa za plastic kwa ajili ya juice za size kama ya chupa za azam energy, MO chungwa nk. Kama kuna mtu anaweza nishauri sehemu ya kuzipata au anauza itakua msaada mkubwa sana kwangu.
Tarehe 4 mwezi huu mdogo wangu alipata ajali ya pikipiki eneo biafra akapelekwa mwananyamala hospitali ili apate matibabu. Niliyoyaona pale kwa kweli yanaumiza, sikitisha na kukatisha tamaa.
Mdogo wangu alifikishwa pale saa nne asubuhi na mimi nikafika saa tano na nusu, nimekuta mdogo wangu...
Malalamiko ya kuyumba kwa uchumi yanatolewa na wapiga dili tu?
Watu wengi wamekua wakilalamika kuhusu mkwamo wa kiuchumi uliopo sasahuku pia baadhi ya watu wengine wakiwaponda hao walalamikaji kwamba walikua wapiga dili tu toka utawala uliopita,sasa mirija ya dili imezibwa ndiyo maana wana...
Habari za kazi wapendwa wa JamiiForums, nimepost hii mada kwa ajili ya kutafuta mtu ambaye ana uzoefu wa kuomba vibali vya import mamlaka ya chakula na dawa.
Kuna bidhaa ya matumizi ya kawaida lakini TFDA wameiweka katika kundi la vifaa tiba (medical equipment), nahitaji kuiombea import permit...
Mnamo mwezi wa kwanza mwaka huu nilianzisha mada hapa jukwaani nikiomba ushauri wa kuagiza mashine toka China. Ishu ilikua niende China au niagize kwa mtandao kupitia Alibaba.
Nilipata ushauri wa kutosha tu huku wengine wakiniasa kwamba Alibaba nita tapeliwa hela bora tu niende China. Bahati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.