Haya ni
Haya ni majungu. Njia sahihi ilikuwa kum face direct immediate officer wake ili kufikisha hili suala kwa uzito wake.
Una hoja ila njia sio sahihi
Pension inakoma ila bima ya mke/mume inaendelea hadi nae atakapoitwa kwa muumba wake. Hii bima pindi unapostaafu kadi zote zinarudishwa isipokuwa ya mwenza. Hivyo hakuna makato ya kupeleka bima. Kwa maneno mengine pension na bima hazitegemeani. Asante
Mwezi wa pili sasa mita hazijasomwa kinyerezi. Wengine ni wapangaji wakihama watatuachia madeni. Naomba ofisi ya kinyerezi itusaidie katika hili. Hata kama maji yanatoka mara moja moja. Tafadhali. Bora isomwe zero unit kuliko kuvusha mwezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.