Yaani umeongea utumbo jumlisha ujinga, wewe ni hamnazo, ushasema ni mhadhiri chuo kikuu na alikuwa mjumbe wa bodi ya bot, halafu wauliza ujinga wakati mwingine muwe na heshima mnapo uliza utumbo wenu.
Nimeshindwa kujadiliana na wewe kwa sababu umeshindwa kutoa hoja umekuja na kashfa, ungeliweza kumzunguzia mama Yesu na utakatifu wake ndio ungejua thamani ya khadija. Lakini kwa ukafiri wako umeshindwa kujielewa,baki kuwa kafiri.
Maelezo yako yote ukosea kitu kidogo tu, kuto kujua kuwa waziri ameunda kamati kuchunguza kiini cha lililo tokea na kamati ikaja na majibu ya tukio kwahiyo kama hakuipa ushirikiano ni ujinga wake sio kosa la waziri wala kamati.
Huo ni uhayawani hata serikali inaadhabu ya viboko, hata tamaduni zetu zipo adhabu za viboko iweje wewe useme adhabu ya kitumwa, kitu muhimu kama ni kiboko isipite kiasi, Lakini bila kiboko ndio leo tunaona wazungu wasivyo na adabu mbele ya familia hata jamii inayo wazunguka, huku sisi tukisema...
Nimecheka sana jinsi unavyo wahi kuzuia mapema, maana Kuna jamaa yangu kuna siku nilikutana nae yuko na demu wake nikamuuliza huyu ndio shemeji akakataa, nikampa mkono msichana alipo upokea nikamminya halafu nikamtenya kumbe na yeye joto likapanda, kilicho fatia tukutane episode ya 3000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.