Pascal..ni kweli usemalo.lakini upinzani wa Tanzania umekuwa Duni sana na wanachotakiwa kufanya ni kuubomoa mfumo wa uongozi wao na kuupika upya kila kitu huwa kina reform yake..sasa chama kimoja hakiwezi kuwa na mfumo mmoja kwa miaka 20..ccm ilikaribia kuangua endapo isingeshitukia hilo ..na...
Mwambie huyo kenge aingie Google na angalie
Nshimba inyernational welding konsuntant limited uk
Au aangalie Niwec invest
Nimpe yeye kazi na ukoo wake wote.atachagua akaishi Oman.Dubai au Uk au sweden..
Mayalla ni ukoo wa upande wa mama.
Na inawezekana.kwa sababu sabau hata kaka yangu hadi leo anatumia jina la Mayalla
Sisi ni wana Nshimba.
Ukoo wa Askofu Mihayo.
Mimi nimjukuu wa Mihayo.
Kaka Dunia Kiganja...
Leo niko sweden kesho ninakuja kufungua kiwanda chuma tanzania .
Vizuri.Kadiri nilimjua.na jata Mabalozi wote wanaokuja sweden.lazima waambiwe watanzania wa zamani na umuhimu wao.nimeshawasaidia watanzania wengi sana.
Kuanzia Balozi Tinaijuka hadi aliyeondoka.wanajua
Nitamkaribisha Dr.slaa na nina imani tutakuwa naye vizuri
Pascal ..Mayala
Mimi Mnyamwezi.
BABU YANGU ALIKUWA ASKOFU MKUU WA JIMBO LA TABORA ASKOFU MARCO MIHAYO..
NA KWETU KUNA MAYALA UOANDE WA MAMA YANGU.SIKUJUI ILA NINAKUFUATILIA SANA KILA SEHEMU.
NUNAITWA NSHIMBA.
NIAMINI ...SIASA ZA UPUNZANI TANZANIA BADO.IKA WANATUSAIDIA ..CHAMA TAWALA...
Sisemi naipenda ccm.mimi si.muumini wa siasa.
Mimi nimewatengeneza wana siasa wengi sana tanzania naleo wana vyeo vikubwa.either serikalini au kwenye vyama vya siasa.kupitia nikiwa Bosi wao scout kuanzia 1984.
Ila kiukweli Tanzania Bado siasa hakuna na upinzani wa kweli hakuna.Ninawajua viongozi...
Safi sana David Kafulila.
Hujakosea kurudi upande huu .nilikuwa nakuamini tangu ulikuwa upande ule wa pili..na Kweli naamini Raisi JPM amepata Jembe lingine la kumsaidia...
WENYE AKILI WOTE WAKO UPANDE HUU..HONGERA SANA.
Ukishakuwa umemtaja unayemtaka wewe achaguliwe tayari mwandishi wa habati umeonyesha wewe umesimamia chama gani...huna haja ya kuingea sana.uandishi wa habari wa Tanzania ni wa unafiki sana.na hiyo yote ni kwa sababu ya njaa ya wanahabari wetu wengi. wa Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.