Ile show ya Madson Square Garden ninayo nimeitunza na ninaiangalia kila Siku. Bonge la show huku Memphis Bleek akimpa backup ya nguvu big bro wake. Watoto wa Brooklyn wakaiteka Manhattan kwa muda
Mkuu uchaguzi ulishaisha na si busara now kumjua nan fisadi nan malaika. Wote tulipishana itikadi lakini lengo letu wote lilikuwa kumpata rais wetu na tumempata na ndio maana hujaona nikipost kumpinga magufuli baada ya matokeo. T ujenge nchi tuache hizo tofauyi ambazo bado unazo kichwan nafkiri...
Nina girlfriend nipo naye kwa miaka Tisa sasa. Nimeanza naye mahusiano akiwa na miaka 19. Ilikuwa mwaka 2006 mwezi wa tano Waziri Mkuu wa nchi hii akiwa Lowassa. Nampenda na ananipenda. Namuhudumia vzuri tu. Na tayari nimemchumbia. Zamani hakuwa na tabia za kukopa vitu na kubaki na madeni. Ila...
Ujinga wa kutokuelewa mambo ni mzigo bora hata ukimwi. Ulichokikimbilia ni tofauti kabisa na nilichokimaanisha mbwa wewe. Acha mihemko ya uchaguzi. Hayo yalishapita na tunajenga nchi shoga wewe
Kinachofanyika sasa sio hakuna mwanaCCM wa Lumumba aliyezoea kula kiyoyozi na kula kwa ubua atakipenda. Sio Sera kabisa za CCM iliyozoeleka, ni Sera za upinzani zilizokuwa zikipingwa na wanaCCM na Kikwete. Lumumba sasa wananongona wanajuta na wengine wanasema walikosea. Anachokifanya magufuli ni...
Na-Paste Text yake...
Naombeni msaada wa ushauri ndugu zangu.
Mimi ni msichana na Nina mpenzi wangu tumedumu kwa miaka mitatu sasa. Nilifahamiana naye nikiwa form six na kuanzia wakati huo tukawa wapenzi. Ananipenda sana kuanzia mwanzo had sasa, sijawahi kumkuta hata na text ya binti yeyote...
Ni ukweli usiopingika. Tunamuombea kwa Mungu raisi aendelee na uchapakazi huu. Rais ametoka CCM lakini Sera za usawa, haki, umoja, kurudisha keki ya taifa kwa wananchi na kuwakamata watumishi walimbikiza Mali ni sera za Ukawa tangu bunge la katiba mpaka kwenye kampeni. Ni mixing nzuri na...
Pole sana Davis mosha. Hiyo ndio moshi. Rudi Washington kwa mshkaji wako Temba muendelee kuwekeza kwenye television yenu ya Swahili TV huko Washington marekani. Siasa imekukataa bro
Jipe moyo mkuu. By the way unafanya vizuri kuepuka kufa kwa stroke. Naona january anawafariji. Hamtaongoza popote zaidi ya geita tu. Pengine kote Lowasa anapiga kichapo cha mbwa mwizi
Wakuu hali halisi ya matokeo ya awali mnaiona na speed ya mmasai ni balaa nchi nzima. Anachokifanya January ni vita ya kisaikolojia. Anataka kuwatoa mchezoni tu. Ila hata wao wameshaona hali halisi inayoendelea. By the way mpaka sasa kwa uchache tu nianze na hongera kwa lisu mnyika kingwendu...
Polisi wamevamia kituo cha UKAWA cha kupokea na kujumlisha kura zote nchini na kuzima mitambo. Huku CCM wana kituo kama hicho kipo Mlimani city kimeachiwa kiendelee na kazi mpaka muda huu.
==========
Tanzania opposition says police raid tallying center after election
Tanzania's biggest...
Spencer Lameck yupo live kutoka Monduli.
Foleni ni kubwa na amesema anasubiriwa Lowassa atakuja kupiga kura kituoni hapo.
Yupo live muda huu.
Updates 1..
Tayari Lowassa ameshapiga kura akiambatana na mama Regina na amehojiwa na vituo mbali mbali vya habari ikiwemo mwandishi wa Al Jazeera...
Kupitia vituo vya ITV na EATV mgombea wa Ukawa Edward Lowassa amelihutubia taiga kwa hotuba yenye mashiko iliyosikilizwa nchi nzima. Imekuwa gumzo gafla na imeizamisha kabisa CCM kwa kuwaumbua mabaya wanayoyafanya. Kwenyw mabaa mitaani na vibanda vya chips ni makundi ya watu wanamsikiliza...
Pamoja na nguvu kubwa ya mabasi ya UDA na coasters za kukodi nyingi kuzunguka jiji lote kukusanya watu lakini sijasikia jambo jipya pale zaidi ya ahadi amnazo miaka yote wanazirudia kwenye kampeni. Wazee wao wote walikuwepo ila mipasho tu ndio iloyogarimu pesa nyingo pale za wasanii na mabasi ya...
Leo Lowassa amefanya mikutano mitano. Mlimba, Ifakara, Mikumu/Ruaha, Chalinze na Kibaha. Pote Lowasaa ametikisa kwa nafuriko ya balaa kama iilivyo kawaida yake. Amehitimisha kampeni za mikoani na kesho atazizima jijini dsm kwa mkutano wa kihistoria ambao watu nusu milioni wanakadiriwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.