Lissu siyo mnyiramba.
Uliza uambiwe hao ni watani wa jadi Mwigulu ma Makala ni wanyiramba,Lissu ni mnyaturu. Kama ungesema wanatoka mkoa mmoja labda ungeeleweka lakoni hata hivyo Amosi Makala ni wa Morogoro.
Nimejiuliza sana juu ya kinachoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa nimeshindwa kuelewa nini hasa malengo ya watawala kwenye uchaguzi huu.
Nimejaribu kuangalia nchi nyingi hasa za Ulaya na America ambazo zimepiga hatua kwenye maendeleo, uchumi,elimu, demokrasia n.k
Sijawahi kusikia kitu Kama hiki...
Bado natafakari sijajua kwa maisha tuliyonayo sasa Watanzania ni wapi tunapelekwa na utawala huu maana maisha yamekuwa kama tunaishi kuzimu maana hali ni mbya sana.
Tunaoweza kusema tuseme na tuwaambie watawala kuwa haya sio maisha tuliyopaswa kuishi huku tukisema Tanzania ni Nchi huru.
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.