TBC wanajifanya kusoma text zinazo sisitiza amani, hawajui kama amani tanzania ipo, mi nilitaka wasome na zile walizo tumiwa za kutokuwa na imani na tume ya uchaguzi, wafanyakazi wa tbc nao wamechakachulia na chama cha mafisadi, sijui watakuja kuwa hadithia nini watoto wao bdae....
sisi kujiuzulu kwake hakutatusaidia ,sisi tunataka wabunge wetu walioibiwa kura majimboni wapate haki zao, na tunataka uchaguzi wa uraisi urudiwe maana huu ni upumbavu, etii ajiuzulu amalize matatizo yetu kwanza ndooo aende kufilia mbali kujiuzulu . mi napata hasira sana hii nchi washafanya yao
WANATAKA WAKAMALIZIE ZILE ZILE DILI ZA VITAMBULISHO, NA KUUZA KIGAMBONI KWA BUSH, KWAHIYO WANATAKA WAUZE KILA KITU KUBAKIE NA UMASKINI PEKEE, NYERERE ALIKUWA ANA ANGALIA MBALI SANA NA HATA KUMPITISHA MKAPA BADALA YA KIKWETE, ALIJUA HANA UWEZO WA KUENDESHA HII NCHI, SASA NA ANZA KUONA ALICHOKUWA...
NEC wakishapokea matokeo kutoka jimboni wanasuburi ruhusa kutoka CCM kama yatangazwe ama la! NA HIYO NDO pekee mabibi na mabwana inayofanya majibu yacheleweshwe.sababu kama upinzani watakuwa wameshindwa inabidi yachakachuliwe ndo yatangazwe.
WASHKAJI BILA MASWALI NILIKUWA NAWAZA HIVYOHIVYO THATs WAY JANA KINANA kibaraka ALITOKA NA KUTANGAZA HAZARANI,NIKAJUA IMEKWISHA. I WAS LIKE DAMN! FxxxK KINANA HE HIS SON OF THE BxxxCH.
]wasanii wengi wa filamu na muziki hawakumsapoti josephy mbilinyi na wengi waliegemea kwa mafisadi sasa kwa sababu wabunge ccm huwa hwana mpango na wasanii wafikapo bungeni zaidi ya kuwatumia ktk kampeni je?sugu atete maslai ya hao wasaliti au alitetee sana jimbo lake?
Tbc walikuja kwa kasi na hata kutishia amani kw baadh ya vituo vya kurushia matangazo, ila walipo anguka wameanguka mazima hakuna vipindi vizuri tena hususani sisi wapenda soccer, hata atn wameifunika kwa champions league......bila kusahau vijana wao wanaendekeza sana kampeni zisizo...
kimsingi kibonde simkubali, anaendekeza mambo ya kitoto sio mtu wa kufikiri kwa kina, ni m2 wakuangalia hapa na si kule, alikuwa anaponda sana upinzani, ye anadhan upinzani una jitetea wenyewe, unatetea taifa lote bila kubagua, iwemo yeye na kizazi chao wote bila kubagua...
tabu ya baadh wa wa2 wa kusini wanaendekeza sana udini na hawataki maendeleo huku wengine wakiendeleza utamaduni bila ccm amani hakuna..tubadilike jamani hii nchi ni ya kwetu sote tusiangalia ukabila wala udini...ukiona udini kwako ni tija kuna chama cha cuf kipe nguvu pia...tunahitaji wabunge...
Kwa habari za tetesi zilizotoboka toka kwa umoja wa wakinamama ccm yasemekana kuwa hawakufurahishwa na ujio wa nakaaya na kwamba wanadai hamna nafasi ya binti huyo wa bongo fleva kuingia bungeni kwani wao wenyewe wana msururu wa watu wengi na kwamba hata kungekuwa na nafasi 50 asingepata, mmoja...
Tuanze taratibu mpaka uchaguzi ujao tutakuwa tumefanikiwa kwa asilimia 95 na kuendelea, ili tuweze kukomboa kizazi kijacho tumekuwa tukipoteza rasilimali nyingi sana, na sito penda ziendelee kupotea, sisi ndio wa kulikomboa taifa letu lenye kila aina ya utajiri..
wana jf mpaka sasa mambo yana kuwa na utata, kiravu kaenda ubungo , manyika according to primary election kutoka kata zote anaongoza kwa kura zaid ya elfu 20, wakawaambia tume wahesabu kwa kutumia excel,wakina mnyika walienda na laptop sita, wasimamiz wa kituo wakasema hawawezi kuzitumia...
Wana jf mnaonaje tukitengeneza grouops kutembelea vijijini ili kutoa elimu ya uraia, na kuwa wezesha wananchi walio kosa elimu hiyo kuwa nayo, nadhani ndio yatakuwa mapinduzi ya kweli, ili raia wajue kiongozi bora na nini anatakiwa kufanyiwa na kiongozi wake..ila kama itawezekana tuanze baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.