Sasa ukimzuia akabaki, kesho wewe umekufa, nani ataendelea kutunza huyo mtoto km atakuwa mama wa nyumbani?
Muache akafanye kazi, kugandamana hakuna maana yoyote.
1. Siwezi kuweka zile taa zenye mwanga mweupe mkali, zinaumiza sana macho ya watu. Malimbukeni ndo huwa wanaweka taa hizo plus vitaa vinavyowakawaka hovyo.
2. Kupaka rangi kwenye rim kwa ndani, ni utoto wa hali ya juu.
3. Taa za break zinazokonyeza. Hawa wanakweka ni wale ambao hawaba medula...
Hivi we mleta mada, mbona mada zako zote huwa pumba? Kwani ni lazma upost uzi?
Unaweza ukatulia ukawa msomaji tu km huna mambo ya msingi. Naona unafanya jukwaa liwe km sehemu ya UDAKU.
NONSENSE kabisa.
Acha kumjaza mwenzako ujinga!
Mwanaume kucheat ni sehemu ya maisha. Hakuna mwanaume asiyecheat, ispokuwa wale waliowekewa madawa tu. Ila wote wenye akili timamu kuwa perfect 100% haiwezekani.
Ye akae kwa kutulia, ameshaolewa alee mtoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.